Yusuph Manji mgombea udiwani wa CCM Mbagala!

Yusuph Manji mgombea udiwani wa CCM Mbagala!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,600
Mfanyabiashara Yusuph Manji ameteuliwa kugombea Udiwani kata ya Mbagala kwa tiketi ya CCM.

Manji ambaye awali alikatwa na mkoa amerejeshwa na kamati kuu. Hata hivyo m/kiti wa CCM Madabida amesema hakubaliani na uteuzi huo kwani Manji alivunja kanuni.

Chanzo: Tanzania Daima
 
Kama Ni kweli mwaka huu utakuwa wa kumbukumbu isiyoweza fitika duniani.Yaani mtu hakuwahi kufika kwenye kampeni na amechaguliwa tena kwa kura nyingiw.Huenda hata huko
 
kweli fedha ni bora kuliko elimu. fedha ina pindisha kila kitu
 
Chama cha wafanya biashara na matajiri.. Manji ameweza kununua mpaka kamati kuu..

Mkuu Amavubi pitia hapa tafadhali.. Tajiri amerudishwa.. Chezea ngawira wewe..!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom