johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,600
Mfanyabiashara Yusuph Manji ameteuliwa kugombea Udiwani kata ya Mbagala kwa tiketi ya CCM.
Manji ambaye awali alikatwa na mkoa amerejeshwa na kamati kuu. Hata hivyo m/kiti wa CCM Madabida amesema hakubaliani na uteuzi huo kwani Manji alivunja kanuni.
Chanzo: Tanzania Daima
Manji ambaye awali alikatwa na mkoa amerejeshwa na kamati kuu. Hata hivyo m/kiti wa CCM Madabida amesema hakubaliani na uteuzi huo kwani Manji alivunja kanuni.
Chanzo: Tanzania Daima