Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Au yale yalitabiriwa ya kuvuliwa ukatibu mkuu wa genge yalishatimia kimyakimya?
maana sasa kila mtu ni msemaji wa chama: mara sophia simba, mara pinda, mara chiligata, mara kilango, mara wasira, mara jumuia ya wazazi, mara sijui nini, bado shehe yahaya tu.
wengine wanaamrisha hata vyombo vya dola viishughulikie chadema, lakini Msambaa kakaa kimyaaaaaaaaa.
ndo maana nauliza why?
maana sasa kila mtu ni msemaji wa chama: mara sophia simba, mara pinda, mara chiligata, mara kilango, mara wasira, mara jumuia ya wazazi, mara sijui nini, bado shehe yahaya tu.
wengine wanaamrisha hata vyombo vya dola viishughulikie chadema, lakini Msambaa kakaa kimyaaaaaaaaa.
ndo maana nauliza why?