Chizi Maarifa JF-Expert Member Joined Jul 29, 2013 Posts 13,625 Reaction score 29,894 Feb 13, 2026 #1 Huyu mzee alikuwa bwatu bwatu sana. Tukawa tunamwangalia tunasema hiiii.... Yu wapi sasa? Mbona yu kimya sana? Hatumwoni akiwananga wengine na kuwachamba. Wala kumsifia jini maimuna.... Je ni nini kimemkuta ?
Huyu mzee alikuwa bwatu bwatu sana. Tukawa tunamwangalia tunasema hiiii.... Yu wapi sasa? Mbona yu kimya sana? Hatumwoni akiwananga wengine na kuwachamba. Wala kumsifia jini maimuna.... Je ni nini kimemkuta ?
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,102 Reaction score 181,129 Feb 13, 2026 #2 Kwake ulienda hukumkuta??
Mjusi Sharobalo JF-Expert Member Joined Sep 4, 2025 Posts 7,442 Reaction score 12,712 Feb 13, 2026 #3 Amezeeka hekima zimeongezeka.
LOTH HEMA JF-Expert Member Joined Dec 6, 2015 Posts 26,822 Reaction score 41,320 Feb 14, 2026 #4 Kwa sasa ni mzee, anakula pensheni zake taratibu kama hatakuwa na changamoto ya maradhi ya uzeeni. Wale ndio wazee wa chama ujue chama kina wazee vingunge!
Kwa sasa ni mzee, anakula pensheni zake taratibu kama hatakuwa na changamoto ya maradhi ya uzeeni. Wale ndio wazee wa chama ujue chama kina wazee vingunge!
Boogman JF-Expert Member Joined Dec 28, 2014 Posts 2,525 Reaction score 5,751 Feb 14, 2026 #5 Aliambiwa anawashwa washwa akapoteaπ€£π π
Kennedy Platinum Member Joined Dec 28, 2011 Posts 58,972 Reaction score 69,352 Feb 14, 2026 #6 cocastic said: Kwake ulienda hukumkuta?? Click to expand... ππππΈππβοΈππ πππππ¦π₯π΄π½
cocastic said: Kwake ulienda hukumkuta?? Click to expand... ππππΈππβοΈππ πππππ¦π₯π΄π½
Busu la Kenge JF-Expert Member Joined Jun 13, 2025 Posts 2,308 Reaction score 4,207 Feb 14, 2026 #7 Chizi Maarifa said: Huyu mzee alikuwa bwatu bwatu sana. Tukawa tunamwangalia tunasema hiiii.... Yu wapi sasa? Mbona yu kimya sana? Hatumwoni akiwanga wengine na kuwachamba. Wala kumsifia jini maimuna.... Je ni nini kimemkuta ? Click to expand... Wanadai sasa hivi anavaa pampers.
Chizi Maarifa said: Huyu mzee alikuwa bwatu bwatu sana. Tukawa tunamwangalia tunasema hiiii.... Yu wapi sasa? Mbona yu kimya sana? Hatumwoni akiwanga wengine na kuwachamba. Wala kumsifia jini maimuna.... Je ni nini kimemkuta ? Click to expand... Wanadai sasa hivi anavaa pampers.
Kennedy Platinum Member Joined Dec 28, 2011 Posts 58,972 Reaction score 69,352 Feb 14, 2026 #8 Boogman said: Aliambiwa anawashwa washwa akapoteaπ€£π π Click to expand... ππ
Chizi Maarifa JF-Expert Member Joined Jul 29, 2013 Posts 13,625 Reaction score 29,894 Feb 14, 2026 Thread starter #9 cocastic said: Kwake ulienda hukumkuta?? Click to expand... Swali la kipumbavu. Hili siyo jukwaa la MMU au Udaku. Wanaume wanajua naulizia nini. Wewe nenda lile jukwaa kwa mambo unayoyajua.
cocastic said: Kwake ulienda hukumkuta?? Click to expand... Swali la kipumbavu. Hili siyo jukwaa la MMU au Udaku. Wanaume wanajua naulizia nini. Wewe nenda lile jukwaa kwa mambo unayoyajua.
King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 60,330 Reaction score 88,488 Feb 14, 2026 #10 Chizi Maarifa said: Huyu mzee alikuwa bwatu bwatu sana. Tukawa tunamwangalia tunasema hiiii.... Yu wapi sasa? Mbona yu kimya sana? Hatumwoni akiwanga wengine na kuwachamba. Wala kumsifia jini maimuna.... Je ni nini kimemkuta ? Click to expand... Yupo ,juzi nimeona ana birthday ya kutimiza miaka 25 (52).
Chizi Maarifa said: Huyu mzee alikuwa bwatu bwatu sana. Tukawa tunamwangalia tunasema hiiii.... Yu wapi sasa? Mbona yu kimya sana? Hatumwoni akiwanga wengine na kuwachamba. Wala kumsifia jini maimuna.... Je ni nini kimemkuta ? Click to expand... Yupo ,juzi nimeona ana birthday ya kutimiza miaka 25 (52).
Tareek Azeez JF-Expert Member Joined Mar 29, 2014 Posts 12,904 Reaction score 32,288 Feb 14, 2026 #11 Master Plate. Bufee Capitano.
Chizi Maarifa JF-Expert Member Joined Jul 29, 2013 Posts 13,625 Reaction score 29,894 Feb 14, 2026 Thread starter #12 King Kong III said: Yupo ,juzi nimeona ana birthday ya kutimiza miaka 25 (52). Click to expand... Labda huyo ni Yusufu Makamba wa mtaani kwenu.
King Kong III said: Yupo ,juzi nimeona ana birthday ya kutimiza miaka 25 (52). Click to expand... Labda huyo ni Yusufu Makamba wa mtaani kwenu.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 165,751 Reaction score 184,600 Feb 14, 2026 #13 Yupo na mambo yake... Cc: Mahondaw
Kennedy Platinum Member Joined Dec 28, 2011 Posts 58,972 Reaction score 69,352 Feb 14, 2026 #14 Chizi Maarifa said: Labda huyo ni Yusufu Makamba wa mtaani kwenu. Click to expand... Ndiyo Ukweli