Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 14,534
- 31,936
💘💌🎂🍸😁😁✝️💝👠💖💓😃😄🍦🥂🍴🍽Kwake ulienda hukumkuta??
Wanadai sasa hivi anavaa pampers.Huyu mzee alikuwa bwatu bwatu sana. Tukawa tunamwangalia tunasema hiiii.... Yu wapi sasa? Mbona yu kimya sana?
Hatumwoni akiwanga wengine na kuwachamba. Wala kumsifia jini maimuna.... Je ni nini kimemkuta ?
😃😄Aliambiwa anawashwa washwa akapotea🤣😅😅
Swali la kipumbavu. Hili siyo jukwaa la MMU au Udaku. Wanaume wanajua naulizia nini. Wewe nenda lile jukwaa kwa mambo unayoyajua.Kwake ulienda hukumkuta??
Yupo ,juzi nimeona ana birthday ya kutimiza miaka 25 (52).Huyu mzee alikuwa bwatu bwatu sana. Tukawa tunamwangalia tunasema hiiii.... Yu wapi sasa? Mbona yu kimya sana?
Hatumwoni akiwanga wengine na kuwachamba. Wala kumsifia jini maimuna.... Je ni nini kimemkuta ?
Yupo ,juzi nimeona ana birthday ya kutimiza miaka 25 (52).
Ndiyo UkweliLabda huyo ni Yusufu Makamba wa mtaani kwenu.