Yusufu Makamba amepotelea wapi?

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
13,625
Reaction score
29,894
Huyu mzee alikuwa bwatu bwatu sana. Tukawa tunamwangalia tunasema hiiii.... Yu wapi sasa? Mbona yu kimya sana?

Hatumwoni akiwananga wengine na kuwachamba. Wala kumsifia jini maimuna.... Je ni nini kimemkuta ?
 
Kwa sasa ni mzee, anakula pensheni zake taratibu kama hatakuwa na changamoto ya maradhi ya uzeeni. Wale ndio wazee wa chama ujue chama kina wazee vingunge!
 
Aliambiwa anawashwa washwa akapoteaπŸ€£πŸ˜…πŸ˜…
 
Kwake ulienda hukumkuta??
πŸ’˜πŸ’ŒπŸŽ‚πŸΈπŸ˜πŸ˜βœοΈπŸ’πŸ‘ πŸ’–πŸ’“πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ¦πŸ₯‚πŸ΄πŸ½
 
Huyu mzee alikuwa bwatu bwatu sana. Tukawa tunamwangalia tunasema hiiii.... Yu wapi sasa? Mbona yu kimya sana?

Hatumwoni akiwanga wengine na kuwachamba. Wala kumsifia jini maimuna.... Je ni nini kimemkuta ?
Wanadai sasa hivi anavaa pampers.
 
Huyu mzee alikuwa bwatu bwatu sana. Tukawa tunamwangalia tunasema hiiii.... Yu wapi sasa? Mbona yu kimya sana?

Hatumwoni akiwanga wengine na kuwachamba. Wala kumsifia jini maimuna.... Je ni nini kimemkuta ?
Yupo ,juzi nimeona ana birthday ya kutimiza miaka 25 (52).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…