Iko vizuri ila ndo hivyo ukishakuwa na "makengeza" hata ukionyeshwa na kuambiwa ukweli huwezi kuuona wala kuusikiaItakua kuhusu Ngada tuu
Mbona amejitetea kitoto sana au Kiswahili shida kukitamka lete vijembe na misemo.
Pia anaonekana kutishia vyombo vya habari visimzungumzie wala kumuandika halafu amelenga zaidi magazeti ya kesho.
Mkuu nitumie pmOhoooo clips za jamaa akitafunwa tayari zimemwagika!!
Kwani gate collection yote unajua waliotoa wanafanya kazi gani?Baada ya kutajwa manji kwenye list Makonda je ni kweli yanga inaendeshwa kwa faida ya pesa za madawa ya kulevya?...
Mimi kama shabiki wa yanga nataka kujua je pesa ambazo uwa anatoa Mara milioni 100 kanunua mechi mashabiki wa yanga waingie bure je ni utakatishaji wa pesa?....
Au ni nini hii ? Naomba tujue kama ni pesa za dawa....
Unajua athari ya kufanyiwa defamation kibiashara? Tatizo hamjawahi kufanya hata biashara ya vitumbua ndio maana huwezi kumuelewa manji.....hata mama ntilie akichafuliwa tu kwa kusemwa ugali wake umekutwa na mende ndani inaathiri jina na biashara yake...mbele utamuelewa tu ManjiManji kakosea sana kuitisha press conference, angeacha tu ijumaa aende, then akishahojiwa ndipo angetafakari kuitisha hiyo press....
Hata akienda mahakamani, atashindwa tu maana yeye katuhumiwa tu na si kwamba kakutwa nayo, kutuhumiwa ni jambo la kawaida sana hata ukitangazwa haina tatizo, baadae ikithibitika kuwa huusiki itatangazwa tena kuwa huusiki, so sioni haja ya yeye kupanic kiasi hicho...
Anatafuta backup mapema kutoka kwa mashabiki wa Vyura wa kimataifaKilichonishangaza ni kusema kumuunganisha yeye na unga ni kuichafua Yanga pia
Manji kakosea sana kuitisha press conference, angeacha tu ijumaa aende, then akishahojiwa ndipo angetafakari kuitisha hiyo press....
Hata akienda mahakamani, atashindwa tu maana yeye katuhumiwa tu na si kwamba kakutwa nayo, kutuhumiwa ni jambo la kawaida sana hata ukitangazwa haina tatizo, baadae ikithibitika kuwa huusiki itatangazwa tena kuwa huusiki, so sioni haja ya yeye kupanic kiasi hicho...
Daima mbele, nyuma mwiko.Tuko pamoja Manji,na hakikisha unamfundisha adabu mzee wa kiki.