Yusuf Manji na wenzake wanne watakiwa kuilipa zaidi ya Tsh. Bilioni 33 benki ya NBC

Hapa inakuwa hudaiwi wewe.....inadaiwa kampuni....coz kisheria kampuni ni kama mtu (legal person). Endapo biashara itaenda mrama, kampuni inatakiwa itangaze kisheria kuwa imefilisika. Baada ya hapo, liquidation inaanza ili kuwalipa wadai wake wote kwa kiasi cha fedha kilichopatikana kwenye liquidation. Inawezekana baadhi ya wadai ikashindikana kuwalipa kama pesa iliyopatikana ni ndogo. Ila serikali na taasisi zake, hasa za Kodi(TRA and Co.) lazima walipwe kwanza ndio wengine wafuatie.
Kuna kitu wanaita lifting veil, ikiimanisha watu wakijificha nyuma ya kampuni kutenda jinai bado Sheria huwafuata hukohuko.
 
Aje mtu aniambie kwamba hawa majaji hawakuahidiwa mgao baada ya pesa kulipwa. Aje mtu aseme genuinely kabisa, kwamba hata yeye angekuwa jaji, angeweza kuamuru billion 33 zilipwe halafu yeye asipewe hata vilimilioni 300 hivi vya kunumulia dawa ya viatu..,
 
waliokopesheka miaka hiyo naona enzi zao zinafika mwisho dhamana zote zimeshikiliwa na taasisi za kifedha, hawakopesheki, biashara hazifanyi vizuri, marejesho ya mkopo yanahitajika

kuna kufa kwa presha, kufilisika, mali kuuzwa kufidia madeni, si ya kucheka ila hali ni tete!
Lakini kumbuka kwa mba kampuni zote hiz zimeajiri Watanzania. Hii ina maana wakifilisiwa ama kufilisika, PAYE haitalipwa serikalini, serikali itakosa kodi za mashirika haya na suppliers wa biashara ndo imeishia hapo!
 
Aje mtu aniambie kwamba hawa majaji hawakuahidiwa mgao baada ya pesa kulipwa. Aje mtu aseme genuinely kabisa, kwamba hata yeye angekuwa jaji, angeweza kuamuru billion 33 zilipwe halafu yeye asipewe hata vilimilioni 300 hivi vya kunumulia dawa ya viatu..,
kama yupo afanye kama anajikuna tuone
 
Wahindi sio watu wazur katika uchumi wa nchi ni watu wa kona kona sana. Huyu ndio aliwadhulumu uwanja waislam kupitia bakwata
 
waliokopesheka miaka hiyo naona enzi zao zinafika mwisho dhamana zote zimeshikiliwa na taasisi za kifedha, hawakopesheki, biashara hazifanyi vizuri, marejesho ya mkopo yanahitajika

kuna kufa kwa presha, kufilisika, mali kuuzwa kufidia madeni, si ya kucheka ila hali ni tete!
Kama walifanya ujanjaujanja lazima ile kwao. Mbona wengine wanaibua bishara mpya kila uchao. Umewasahau wale wiolala mbele mara tu baada ya JPM kitinga mjengoni, unajua kwanini walalala mbele kwa kasi ile?
 
Manji alipiga hela sana, kuna miradi ilikuwa unafadhiliwa na Japan kwa wizara ya kilimo na wizara ya fedha Food Aid Counter apart kuna mikopo ilikuwa inatolewa kigezo ili kupata mkopo ilikuwa upaswa kulipa cash cover mfano unataka bilioni 1 basi ilipaswa kulipa cash cover 50mil Manji alichukuwa anakifanya anaongea na watu wa wizara ya fedha na kilimo kwa kutumia watu wanaomba mkopo yeye analipa ile cash cover anachukuwa mzigo kupitia wewe, mzigo ukitoka unapoozwa yeye ana chukua dehemu kubwa.

So ana case kama hizo 30+ lakini wanashindwa kumkamata maana jina linasomeka mtu mwingine. So watu wengi wametafutwa na wanasema wao hawakuchukua ila Manji ndiyo alichukuwa mmoja wapo ni mzee Abood.
Kwahiyo hela haikwenda kwa walengwa bali kwa matapeli ,ndiyo maana kilimo chetu akibadiliki tunazidiwa hata na malawi kwenye matumizi bora ya mbolea na mbegu bora.
 
Kama walifanya ujanjaujanja lazima ile kwao. Mbona wengine wanaibua bishara mpya kila uchao. Umewasahau wale wiolala mbele mara tu baada ya JPM kitinga mjengoni, unajua kwanini walalala mbele kwa kasi ile?
wali ccm chukua chao mapema
 
Utajiri ambao sio madili ni Bakharesa. Wengne kona nyingi sana hata sustainability yake ni ndogo.hakuna shortcut katika mafanikio
 
Manji alipiga hela sana, kuna miradi ilikuwa unafadhiliwa na Japan kwa wizara ya kilimo na wizara ya fedha Food Aid Counter apart kuna mikopo ilikuwa inatolewa kigezo ili kupata mkopo ilikuwa upaswa kulipa cash cover mfano unataka bilioni 1 basi ilipaswa kulipa cash cover 50mil Manji alichukuwa anakifanya anaongea na watu wa wizara ya fedha na kilimo kwa kutumia watu wanaomba mkopo yeye analipa ile cash cover anachukuwa mzigo kupitia wewe, mzigo ukitoka unapoozwa yeye ana chukua dehemu kubwa.

So ana case kama hizo 30+ lakini wanashindwa kumkamata maana jina linasomeka mtu mwingine. So watu wengi wametafutwa na wanasema wao hawakuchukua ila Manji ndiyo alichukuwa mmoja wapo ni mzee Abood.
Jamaa kwa madili ni noma! Mjanja sana
 
Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara imemuamuru Mfanyabiashara Yusuf Manji na wenzake wanne kuilipa Benki ya NBC TZS bilioni 33.9 kutokana na mikopo waliyochukua katika matukio tofauti. Mbali na Manji, wadaiwa wengine ni Tanperch Ltd, Farm Equip Ltd, Quality Group Ltd & Kaniz Manji.
 
Back
Top Bottom