Yusuf Manji na wenzake wanne watakiwa kuilipa zaidi ya Tsh. Bilioni 33 benki ya NBC

Aisee! Watu walikula nchi. Kampuni inabadilishwa kajina kidogo inadhamin nyingine. Yaani utakuta hayo makampuni yote Manji ana hisa kwa hiyo alikuwa anakopa na kujidhamin mwenyewe.

Hapa naona Yanga wakifungwa mechi ijayo maana stress za Manji zinakuwaga za timu
Manji alipiga hela sana, kuna miradi ilikuwa unafadhiliwa na Japan kwa wizara ya kilimo na wizara ya fedha Food Aid Counter apart kuna mikopo ilikuwa inatolewa kigezo ili kupata mkopo ilikuwa upaswa kulipa cash cover mfano unataka bilioni 1 basi ilipaswa kulipa cash cover 50mil Manji alichukuwa anakifanya anaongea na watu wa wizara ya fedha na kilimo kwa kutumia watu wanaomba mkopo yeye analipa ile cash cover anachukuwa mzigo kupitia wewe, mzigo ukitoka unapoozwa yeye ana chukua dehemu kubwa.

So ana case kama hizo 30+ lakini wanashindwa kumkamata maana jina linasomeka mtu mwingine. So watu wengi wametafutwa na wanasema wao hawakuchukua ila Manji ndiyo alichukuwa mmoja wapo ni mzee Abood.
 
Wakati wanakopa walikopa kwa ajili yao;

Kila mtu ana mkopo wake na analipa kwa maumivu;

Dawa ya deni ni kulipa hakuna siasa
 
Naona raha kuwa mtu wa kawaida ya kutokuwa na presha kinyume na matajiri ambao kila siku presha tupu kwa ajili ya madeni ya Taasisi mbali mbali. Kweli ogopa deni hutakuwa na raha katika dunia hii. Unatakiwa uwe na deni unayoweza kulipa.
 
Manji alipiga hela sana, kuna miradi ilikuwa unafadhiliwa na Japan kwa wizara ya kilimo na wizara ya fedha Food Aid Counter apart kuna mikopo ilikuwa inatolewa kigezo ili kupata mkopo ilikuwa upaswa kulipa cash cover mfano unataka bilioni 1 basi ilipaswa kulipa cash cover 50mil Manji alichukuwa anakifanya anaongea na watu wa wizara ya fedha na kilimo kwa kutumia watu wanaomba mkopo yeye analipa ile cash cover anachukuwa mzigo kupitia wewe, mzigo ukitoka unapoozwa yeye ana chukua dehemu kubwa.

So ana case kama hizo 30+ lakini wanashindwa kumkamata maana jina linasomeka mtu mwingine. So watu wengi wametafutwa na wanasema wao hawakuchukua ila Manji ndiyo alichukuwa mmoja wapo ni mzee Abood.
noma sna
 
Hawa ni watu ambao hawakuwa wanafanya biashara. Walichokuwa,wanafanya ni kukopa hapa, lipa pale kidogo and use the rest to finance high life. Sasa mfumo huo umefika mwisho.
Dah, ila jamaa sijui alikuwa anawezaje kupata usingizi. Mie nikidaiwa laki tu, silali.

Hapa inakuwa hudaiwi wewe.....inadaiwa kampuni....coz kisheria kampuni ni kama mtu (legal person). Endapo biashara itaenda mrama, kampuni inatakiwa itangaze kisheria kuwa imefilisika. Baada ya hapo, liquidation inaanza ili kuwalipa wadai wake wote kwa kiasi cha fedha kilichopatikana kwenye liquidation. Inawezekana baadhi ya wadai ikashindikana kuwalipa kama pesa iliyopatikana ni ndogo. Ila serikali na taasisi zake, hasa za Kodi(TRA and Co.) lazima walipwe kwanza ndio wengine wafuatie.
 
Mahakama Kuu kitengo cha Biashara imemuamuru Mfanyabiashara Yusuf Manji na Wenzake wanne kulipa fedha hizo kwa benki ya NBC kutokana na mkopo waliochukua katika matukio tofauti

Katika kesi namba 54 ya 2018, Manji na Washtakiwa wengine, Farm Equip(Tanzania) Company Limited, Tanperch Limited, Quality Group Limited na Kaniz Manji wanatakiwa kulipa jumla ya Tsh. 15,982,193,605.23

Kwenye kesi namba 56 ya mwaka 2018 ambapo Washtakiwa ni Manji, Tanperch Limited, Quality Group Limited na Kaniz Manji, Mahakama imemuamuru wailipe NBC jumla ya USD 5,468,274.23 kama riba ya marejesho ya Mkopo

Aidha, katika kesi nyingine namba 55 ambapo Washtakiwa ni Quality Corporation Limited, Quality Group Limited, Tenperch Limited, Yusuf Manji and Kaniz Manji Mahakama imeamuru walipe Tsh. 5,359,418,687.31

===================

THE High Court’s Commercial Division has ordered prominent businessman Yusuf Manji and four other defendants to pay over 33bn/- to the National Bank of Commerce (NBC) Limited, being monies outstanding on account of credit facilities extended in different occasions.

In a commercial case No 54 of 2018 decided by Judge Butamo Philip, Manji and defendants Farm Equip (Tanzania) Company Limited, Tanperch Limited, Quality Group Limited and Kaniz Manji are to pay a total of 15,982,193,605.23 on account of overdraft and the import loan facility as at February 28, 2018.

According to court records, in this transaction, the principal borrower was Farm Equip (Tanzania) Company Limited, while other defendants had executed personal guarantees.

In a commercial case No 56 of 2018 decided by the same judge, the court ordered Mr Manji and the defendants therein to pay the Bank a sum of 5,468,274.23 US dollars being payments of an overdrawn amount and accrued interest.

Apart from Manji, other defendants in this case were Tanperch Limited, as principal borrower, Quality Group Limited and Kaniz Manji as guarantors. There was another commercial case No 55 of 2018 determined by Judge Barke Sahel involving 5,359,418,687.31 payments

Defendants in this case were Quality Corporation Limited as principal borrower, while Quality Group Limited, Tenperch Limited, Yusuf Manji and Kaniz Manji were guarantors to the 5,359,418,687.31 being repayment of multi optional loan facilities that stood as at February 28, 2018.
Walikopa bila collateral??
 
Hawa ni watu ambao hawakuwa wanafanya biashara. Walichokuwa,wanafanya ni kukopa hapa, lipa pale kidogo and use the rest to finance high life. Sasa mfumo huo umefika mwisho.
Dah, ila jamaa sijui alikuwa anawezaje kupata usingizi. Mie nikidaiwa laki tu, silali.
mafisadi walikua
 
Back
Top Bottom