Kama si kitu kwa nini amelimbikiza,alipe basi.Aibu yote ya nini?million 300 si kitu kwa manji
Tumia ubongo wako kufikiri utaelewa vzrYaani na wewe ni punguani
Hivi Rostam kajichimbia wapi?Rostam Aziz aliona mbali. Uchwara uchwara ulipoanza kunukia kasepa. Huyu naye akianzishe tu ,vinginevyo ataanza kuokota makopo soon.Jamaa si kasema "wataishi kama shetani???!!!
Weziiii....Kampuni ya Udalali ya Yono (Yono Auction Mart) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Tawi la Temeke leo Oktoba 27 wamemkamata mfanyabiashara Yusuf Manji kutokana na kutolipa malimbikizo ya kodi anayodaiwa zaidi ya Tsh 300 milioni.
Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Yono, Scolastica Kivera alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam, ambapo amesema kwamba mbali na kumkamata Manji, pia wamefunga nyumba ya kuhifadhia mali (godown) pamoja na Ofisi yake iliyopo kando ya barabara ya Nyerere ili alipe kodi anayodaiwa na Serikali.
Yono ambao ni wakala wa ukusanyaji wa madeni ya Serikali kupitia TRA, wamesema kwamba wanamshauri Manji alipe deni analodaiwa ili waweze kufungua majengo yake wanayoyashikilia kwani kinyume na hapo watapiga mnada mali zilizopo ndani ya majengo kwa idhini ya TRA ili waweze kufidia deni hilo.
Kivera ameeleza kwamba, hatua ya wao kushikilia mali hizo ni kumtaka Manji alipe deni analodaiwa.
Yupo tabataHivi Rostam kajichimbia wapi?
zimboboAende wapi? Kwani sio Mtanzania?
ha ha ha kapanga kwako naonaYupo tabata
Hide my ID please!ha ha ha kapanga kwako naona
KwendraaaaHide my ID please!
TRILION 400 BARICK/ACASIA VIPI ZILISHALIPWA ??Kampuni ya Udalali ya Yono (Yono Auction Mart) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Tawi la Temeke leo Oktoba 27 wamemkamata mfanyabiashara Yusuf Manji kutokana na kutolipa malimbikizo ya kodi anayodaiwa zaidi ya Tsh 300 milioni.
Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Yono, Scolastica Kivera alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam, ambapo amesema kwamba mbali na kumkamata Manji, pia wamefunga nyumba ya kuhifadhia mali (godown) pamoja na Ofisi yake iliyopo kando ya barabara ya Nyerere ili alipe kodi anayodaiwa na Serikali.
Yono ambao ni wakala wa ukusanyaji wa madeni ya Serikali kupitia TRA, wamesema kwamba wanamshauri Manji alipe deni analodaiwa ili waweze kufungua majengo yake wanayoyashikilia kwani kinyume na hapo watapiga mnada mali zilizopo ndani ya majengo kwa idhini ya TRA ili waweze kufidia deni hilo.
Kivera ameeleza kwamba, hatua ya wao kushikilia mali hizo ni kumtaka Manji alipe deni analodaiwa.
Karibu tabata!vyuma vimekaza lakini maeneo ya starehe tabata yanaongezekaKwendraaaa