Yusuf Bakari abaka kuku

Anastahili kifungo cha maisha, bora hata abake ng'ombe au tembo.
Kwani kuna tofauti gani ... yote si yale yale! .... issue hapa ni kufanya mapenzi na wanyama! ... kwanza hata neno "kufanya mapenzi" nafikiri sio sawa as binadamu hawezi kufanya mapenzi na wanyama, sijui ni ngono na wanyama ... yaaani agh!
 
kwa hiyo katika habari zote TBC1 wakaona hiyo ndo ya kuujuza ulimwengu?
 
Sio kosa lake mbona hata bwana fulani ambae sasa ni marehemu kutoka saudia alioa kitoto cha miaka 6.. Huo nao si ubakaji!?!?!!??
 
hii dunia jamani binadamu wengine!! cjui tuwaweke ktk kundi gani! mana hata tukiwaweka kwenye wanyama tutakuwa tunawakosea wanyama coz hata hao wanyama hawawezi kufanya mapenzi na mnyama asiyefanana naye. cjawahi ckia tembo kafanya mapenzi cjui ngono na twiga!! lakini binadamu tuliopewa akili na utashi na mwenyezi mungu, tunafanya vitu ambavyo mnyama hawezi kuvifanya. dah!
 
Bora tugonge kuku sasa hivi .. Mademu wenyewe mnatuzungusha mara uwe na gari sijui
 

daaaaah!!
dungadunga kakosa nauli
ikabidi akabambie kuku,afungwe maisha
kwa kumsababishia kuku maumivu makalia lolz!!
 
Wanasheria tusaidieni, sheria inasemaje kuhusu hili la mtu kubaka ndege/mnyama?

Atashitakhwa kwa kosa la ku___ba mboga azabu ni kulaaniwa milele nawatuote waseme amina, walawi 11:1 na kuendelea
 
Lisiwasumbue sana akii zenu. haya hutoke kwa nadra sada duniani. wanasikolojia wanaweza kuwa na maelezo ya kufaa.
 
Nadhani jamaa anaogopa ngoma kutoka kwa mademu ndiyo maana akadu na chikeni.Ila da! mi kuanzia leo sili chips kuku wala mayai maanake watakuwa wamecontain mbegu za jamaa.
 
kama mnawaonea huruma sana hao wanyama muache kuwala. Au mkiwaua muwape ganzi. OTHERWISE ACHENI UNAFIKI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…