tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,038
Bado kuna vyama vya siasa vinasema vina imani na tume huru ya uchaguzi taifa INEC. ameskika Yustus wa TLP akisema ''Tuna imani na Tume Huru ya Uchaguzi, tuko nayo na tunaendelea nayo”
Mgombea Urais kupitia tiketi ya Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Yustas Rwamugira amesema anaridhishwa na uwepo wa mazingira rafiki kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, ambapo ameipongeza Tume Huru ya Uchaguzi kwa kuendelea kusimamia mazingira ya uchaguzi na sheria zilizowekwa kabla ya kuelekea uchaguzi mkuu.
Soma pia: Sitarajii kuona Mahakama inaingilia maamuzi ya Tume Huru ya Uchaguzi
Mgombea Urais kupitia tiketi ya Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Yustas Rwamugira amesema anaridhishwa na uwepo wa mazingira rafiki kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, ambapo ameipongeza Tume Huru ya Uchaguzi kwa kuendelea kusimamia mazingira ya uchaguzi na sheria zilizowekwa kabla ya kuelekea uchaguzi mkuu.
Soma pia: Sitarajii kuona Mahakama inaingilia maamuzi ya Tume Huru ya Uchaguzi