Mbona kama Membe huyuUnapoleta jambo humu ndani usifikiri kila mtu anafahamu ulichokileta.
Ili wengi tukuelewe jaribu kuweka maelezo ya kujitosheleza.
Mimi na wewe tunajua kuwa ni Joka la Mdimu , wengine je?Mbona kama Membe huyu
Bernard C. Membe.... Yupo Tele Masaki.... Tulikuwa nae msibani kwa Mama Gwajima
Huyo jamaa naona atakuwa mze kwa sasa.....hii picha ya black and white inaonekana ilichukuliwa miaka ya 60 ama mwanzoni mwa miaka ya 70.
Unapoleta jambo humu ndani usifikiri kila mtu anafahamu ulichokileta.
Ili wengi tukuelewe jaribu kuweka maelezo ya kujitosheleza.
Mbona kama Membe huyu
Ndugu Bernard Kamilius Membe (Waziri wa mambo ya nje mstaafu ) hapo pichani ni muda mfupi kabla ya kujiunga na Usalama wa Taifa (TISS) kama mchambuzi wa maswala ya usalama wa taifa (Natinal Security Analyst) akiwa na miaka 25.Nani huyo
Ndugu Bernard Kamilius Membe (Waziri wa mambo ya nje mstaafu ) hapo pichani ni muda mfupi kabla ya kujiunga na Usalama wa Taifa (TISS) kama mchambuzi wa maswala ya usalama wa taifa (Natinal Security Analyst) akiwa na miaka 25.
wewe wasemaKumbeeee, ila kwa sasa yuko alosto baada ya kubwagwa urais. Nasikia anaokota korosho kule kwao na kunywa uraka.
Hakika wewe ni mtu wa 'system' mkuuNdugu Bernard Kamilius Membe (Waziri wa mambo ya nje mstaafu ) hapo pichani ni muda mfupi kabla ya kujiunga na Usalama wa Taifa (TISS) kama mchambuzi wa maswala ya usalama wa taifa (Natinal Security Analyst) akiwa na miaka 25.
Kwani mwanaume huyo au mwanamke?
hahahahaha hakuna kitu kama hichoHakika wewe ni mtu wa 'system' mkuu
wewe wasema
Ni kweli haya mambo yanakwenda kwa Zama, sasa jamaa zama zake zilishapitaHasikiki.