Yupo wapi Wassira, yupo wapi Muhongo?

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
123,222
Reaction score
98,176
Wana jamvi nimejaribu kufuatilia wanasiasa wetu waliotamba sana kwenye awamu ya Rais Kikwete na kati yao nimeona tuwajadili hawa miamba.

Wasira alijitapa kuiangamiza CHADEMA kabla ya mwaka 2014 tena kwa kiapo lakini leo hii CHADEMA bado ipo na yeye Mzee Tyson hasikiki tena. Pia mzee Muhongo bingwa wa dunia wa miamba aliyekuwa anajivunia kwa kiburi sana juu ya elimu yake hiyo lakini sasa kimya



In God we Trust
 
Mmawia,
Mmoja sasa amekuwa ni Strategist wa CCM na mwingine amejikita zaidi Kuliendeleza Jimbo lake ili liwe na Maendeleo zaidi ya lile la Adui yake na Mpinzani wake Mbunge wa Butiama Mheshimiwa Mr. Hand aliyeko huko nchini Marekani sasa.
 
Mmoja sasa amekuwa ni Strategist wa CCM na mwingine amejikita zaidi Kuliendeleza Jimbo lake ili liwe na Maendeleo zaidi lile la Adui yake na Mpinzani wake Mbunge wa Butiama Mheshimiwa Mr. Hand aliyeko huko nchini Marekani sasa.
Nimecheka sana eti mr Hand,!
Nashukuru sana mkuu

In God we Trust
 
So what?
 
Ndiyo tatizo letu waswahili yaani nimeuliza alafu nawewe unaniuliza badala ya kutoa jibu!

In God we Trust
Lakini ulivyoandika maana yake una lengo au funzo. kuacha swali bila jibu uniaacha njia panda, ilitakiwa uje na hitimisho au funzo kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…