Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 4,394
- 10,912
- Thread starter
-
- #41
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Mh....Mzee wa Tashwishwi. Enzi zile za Giza yule Mzee alikuwa anaziweza Propaganda, yule Mzee alikuwa anapilika. Nyie mwacheni Mungu aitwe Fundi
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Mwandosya anaweza akawa mfano sahihi wa u-professor.Professor huwa hapigi kelele
Open university ni chuo cha serikali kimenzishwa kwa sheria ya bunge ya mwaka 1992 na kimeanza operation mwaka 1993.Profesa aliondolewa cheo na Rais mwenye Masters ya open universiry.Katiba ya Tanzania inafurahisha sana.
Jalalani alipotolewa mwanzoniHuyu bwana Palamaganda Aidan Kabudi alitamba Sana enzi za JPM, aliteuliwa kuongoza majadiliano na Barrick Gold, na alijitahidi kwa kiasi chake. Badae akawa waziri wa Sheria na Katiba na finally akawa Waziri wa Mambo ya nje.
Alijisifu Sana alivyokuwa waziri wa mambo ya nje, lakini wabobezi wanasema alihusika kwa kiasi kikubwa kuharibu diplomasia ya Tanzania. Now hana cheo chochote, na amepotea ata Bungeni hasikiki, haulizi maswali, ATA swali la nyongeza haulizi.
Yupo wapi huyu bwana
Akati mimi nataka ni apply pale mwaka huu .....Open university ni chuo cha serikali kimenzishwa kwa sheria ya bunge ya mwaka 1992 na kimeanza operation mwaka 1993.
Kina maprofesa na madocta (phd holder) wa kutosha kutoka vyuo vikuu mbali mbali dunia kuanzia udsm hadi mamtoni
Kina machapisho ya kutosha ya tafiti mbali za kisayansi.
Bila shaka wewe ndio unafurahisha[emoji2][emoji1787][emoji1787]
Halafu ya mambo ya kutambia vyuo ni kishamba na kilimbukeni ni moja ya intellectual arrogance.
Unashangaza.
Mwisho wa ubaya ni fedheha. Amekimbia nchi.Huyu bwana Palamaganda Aidan Kabudi alitamba Sana enzi za JPM, aliteuliwa kuongoza majadiliano na Barrick Gold, na alijitahidi kwa kiasi chake. Badae akawa waziri wa Sheria na Katiba na finally akawa Waziri wa Mambo ya nje.
Alijisifu Sana alivyokuwa waziri wa mambo ya nje, lakini wabobezi wanasema alihusika kwa kiasi kikubwa kuharibu diplomasia ya Tanzania. Now hana cheo chochote, na amepotea ata Bungeni hasikiki, haulizi maswali, ATA swali la nyongeza haulizi.
Yupo wapi huyu bwana
Mpaka sasa Tz tumepata niniMkuu hukumbuki fadhila kwa kazi iliyotukuka aliyoifanya katika marejeo ya Mikataba ya Madini?
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
mkuu nakumbuka kauli yake kuwa aliokotwa jalalani.Yawezekana amerudi jalalani [emoji848]
Professor huwa hapigi kelele
Huyu bwana Palamaganda Aidan Kabudi alitamba Sana enzi za JPM, aliteuliwa kuongoza majadiliano na Barrick Gold, na alijitahidi kwa kiasi chake. Badae akawa waziri wa Sheria na Katiba na finally akawa Waziri wa Mambo ya nje.
Alijisifu Sana alivyokuwa waziri wa mambo ya nje, lakini wabobezi wanasema alihusika kwa kiasi kikubwa kuharibu diplomasia ya Tanzania. Now hana cheo chochote, na amepotea ata Bungeni hasikiki, haulizi maswali, ATA swali la nyongeza haulizi.
Yupo wapi huyu bwana
Professor huwa hapigi kelele
Profesa aliondolewa cheo na Rais mwenye Masters ya open universiry.Katiba ya Tanzania inafurahisha sana.
Hahaaa,
Mshenzi kama huyo unamhitaji wa nini?Huyu bwana Palamaganda Aidan Kabudi alitamba Sana enzi za JPM, aliteuliwa kuongoza majadiliano na Barrick Gold, na alijitahidi kwa kiasi chake. Badae akawa waziri wa Sheria na Katiba na finally akawa Waziri wa Mambo ya nje.
Alijisifu Sana alivyokuwa waziri wa mambo ya nje, lakini wabobezi wanasema alihusika kwa kiasi kikubwa kuharibu diplomasia ya Tanzania. Now hana cheo chochote, na amepotea ata Bungeni hasikiki, haulizi maswali, ATA swali la nyongeza haulizi.
Yupo wapi huyu bwana