Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 17,562
- 28,524
Yule ni polisi with a human face.Kaimu RPC Mwanza
Yule ni polisi with a human face.Kaimu RPC Mwanza
Naafiki.Halafu alikuwa mrembo.
Sifa zp mkuu?Wanasifa za kipekee
ACP Advera Bulimba huyu mtu wa dini sana hana kauli tata anasali kanisa la praise and worship anafundisha watoto hadi nyimbo za kuimba.
.
Sasa hivi anafanya kazi nyingine alibadilishwa.
Kilichomfanya aondolewe ni kuwa na kauli za kiungwana sana dhidi ya waliopanga maandamano ya UKUTA Masanja wa JWTZ alikuwa anazungumza kimafia alafu yeye anapooza kimama mchungaji
Wana jinsia mbili....Sifa zp mkuu?
Mbona siku hizi simuoni maghorofa ya maofisa ya Mwatex Nyakato?Kaimu RPC MwanA
Ni watamu sana, haki ya nani tena nakuapia. Kama una mke usiwaonje... Usije nilaumu yakikukuta ya kukutaWana jinsia mbili....
Yes kwa sasa ni kaimu RPC mwanzaKaimu RPC Mwanza
Wanasifa za kipekee
Dah schoolmate wangu enzi hizo pale Kibasila.View attachment 1210979
Jamani yuko wapi siku hizi huyu msemsji wa Polisi.
Nilikuwa napenda sana press conference zake.
Zamani St Xaviera, mie nimesoma Chang'ombe Pr mkuu.Dah schoolmate wangu enzi hizo pale Kibasila.
Wakuu,
Poleni na majukumu na Heri ya 2018.
Ni mda mrefu sasa sijamsikia kamanda na msemaji wa Jeshi la Police Tanzania (JLPT) mwanamama Advera Senzo Bulimba. Je, aliacha kazi au alihamishwa idara?
Nilimpenda sana yule mama hasa alivokuwa akicheza na microphones.
Ni SO- 1 pale Mwanza kama sikosei.View attachment 1210979
Jamani yuko wapi siku hizi huyu msemsji wa Polisi.
Nilikuwa napenda sana press conference zake.
Wakuu,
Poleni na majukumu na Heri ya 2018.
Ni mda mrefu sasa sijamsikia kamanda na msemaji wa Jeshi la Police Tanzania (JLPT) mwanamama Advera Senzo Bulimba. Je, aliacha kazi au alihamishwa idara?
Nilimpenda sana yule mama hasa alivokuwa akicheza na microphones.