Kwahiyo wasiwasi na elimu yangu imeingiaje hapo? We ni mtaalam wa kupima viwango vya elimu? Hebu ondoa wasiwasi wako sasa unahisi elimu yangu ni ya kiwango gani?Na wasiwasi na elimu yako.Post yangu ni summary ya maoni niliyoyasoma,jinsi gani FIKRA ZA BAVICHA zinavyo perceive mattz yanayowakuta wanaccm na mattz hayohayo yakiwakuta wanachadema.Nimepitia comments nyingi na nimekutana na comments kama:malipo hapahapa duniani,mara albadili,karma nk.Post yangu haihoji ukweli wa nini kinaendelea kuhusu mtulia bali ni jinsi gani mattz ambayo yanazaniwa kumkuta mtulia yanajadiliwa.FUNGUA FIKRA na UELEWE nini NAONGELEA.ACHA KUKARIRI.
Kuna baadhi ya concept ni rahisi na hazihitaji elimu kubwa na kuna baadhi ni elimu kubwa inahitajika.Hoja yangu ilikua simple sana na haikuhitaji degree kuelewa nini naongelea.Sasa kitendo cha kukurupuka tu kisa HISIA zimetawala kichwa chako,napata wasiwasi sana na elimu yako.Elimu yako unaijua wewe.Rudi kwenye comment yangu then soma reply yako je kuna correlation? Kabla hujajibu kitu au kuquote comment ya mtu,jiridhishe umeelewa kabisa sio kuwa mkurupukaji.Wengine hatupendi watu wanaokurupuka hasa kuquote hoja zetu.Kwahiyo wasiwasi na elimu yangu imeingiaje hapo? We ni mtaalam wa kupima viwango vya elimu? Hebu ondoa wasiwasi wako sasa unahisi elimu yangu ni ya kiwango gani?
Akitoa kauli ya kujibu uzushi juu yake nitamuelewa[emoji196]Hao ndio Bavicha bwana, Makamu Mwenyekiti wao amejiuzuru sababu ya akili zao za kushikiwa. Ati kwa mini afanye interview na Mtulia!!! Wanadhani ofisi ya Mtulia ipo JF. Watabishana humu yupo wapi mwenzao yupo field anapiga kazi
Mkuu, ukope ng'ombe[emoji15] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]kabisaaa.
nitachinja ng'ombe siku siku hyo.
hata kama sina hela nitaenda kukopa.
acha tu.si jambo zuri kufurahia matatizo ya MTU.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] .Mkuu, ukope ng'ombe[emoji15] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Nmecheka sana[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] .
kama unaweza Fanya mambo.nitapanda hata gari nikanunue ng'ombe Wa laki ,5 mkoa.
nije kutoa sadaka.
Atoe Mara ngapi? Amehojiwa na kujibu akiwa kazini, bado mnabisha, ati video ya zamani. Mna dogo ninyi?!Akitoa kauli ya kujibu uzushi juu yake nitamuelewa[emoji196]
Uyo anajua ila naona amekataa kukuelewaNa wasiwasi na elimu yako.Post yangu ni summary ya maoni niliyoyasoma,jinsi gani FIKRA ZA BAVICHA zinavyo perceive mattz yanayowakuta wanaccm na mattz hayohayo yakiwakuta wanachadema.Nimepitia comments nyingi na nimekutana na comments kama:malipo hapahapa duniani,mara albadili,karma nk.Post yangu haihoji ukweli wa nini kinaendelea kuhusu mtulia bali ni jinsi gani mattz ambayo yanazaniwa kumkuta mtulia yanajadiliwa.FUNGUA FIKRA na UELEWE nini NAONGELEA.ACHA KUKARIRI.
Muda utakujibuAtoe Mara ngapi? Amehojiwa na kujibu akiwa kazini, bado mnabisha, ati video ya zamani. Mna dogo ninyi?!
muende kaburini kwa aqwilina mkaombe msamaha.Atoe Mara ngapi? Amehojiwa na kujibu akiwa kazini, bado mnabisha, ati video ya zamani. Mna dogo ninyi?!
Sio muda kujibu, haya bosi wenu kakanusha sasa labda ndio mtaaminiMuda utakujibu
Ni kawaida ya Wapemba. Kuna trafgic mmoja aliikamata gari ya Mpemba yenye samaki. Wakaishikilia mpaka samaki wakaharibika. Mpemba akamwambia traffic police kwamba na yeye atachina kama wale samaki. Jamaa akajibu jeuri.Asalaam wote humu ndani,
Jamani huyu mbunge mteule ndugu Mtulia yupo wapi? Mbona tangua atangazwe mshindi hajaonekana? Mbona hajaapishwa?
Wenye taarifa zake mje hapa tafadhali.
Chaaaaaaaa! Yakheeee hawa watu sio wa mchezo mchezo yakheeeeeeeeNi kawaida ya Wapemba. Kuna trafgic mmoja aliikamata gari ya Mpemba yenye samaki. Wakaishikilia mpaka samaki wakaharibika. Mpemba akamwambia traffic police kwamba na yeye atachina kama wale samaki. Jamaa akajibu jeuri.
Kilichofuatia sasa hivi jamaa ni paralysis..
Ogopa mnooooChaaaaaaaa! Yakheeee hawa watu sio wa mchezo mchezo yakheeeeeeee
Umenikumbusha ilikuwa enzi ya akina Mayenu, Kimti. Sirengo na huyo unayemzungumzia alijulikana kama MasaiNi kawaida ya Wapemba. Kuna trafgic mmoja aliikamata gari ya Mpemba yenye samaki. Wakaishikilia mpaka samaki wakaharibika. Mpemba akamwambia traffic police kwamba na yeye atachina kama wale samaki. Jamaa akajibu jeuri.
Kilichofuatia sasa hivi jamaa ni paralysis..
Tutafurahi, si tutajua amepona!Acheni uzushi huo......
hivi mtajisikiaje siku mkimuona anaapishwa? mtakuja mfute huu uzi? ni vyema mkajikita kwenye hoja lakini sio gossips