Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,232
- 6,479
Habari wadau wa JF.
Niende kwenye swali hapo juu. Na kumbuka mwaka 2011 kipindi cha ITV dk 45 kikianza kurushwa hewani, mtangazaji wake wa kwanza ni Selemani Semunyu.
Huyu mtangazaji alipotea ghafla na kipindi kuanza kuendeshwa na watangazaji wengine tofauti.
Je mtangazaji huyu yupo kituo gani cha habari kwa sasa! Au kaacha kazi na kwenda kusoma?
Niende kwenye swali hapo juu. Na kumbuka mwaka 2011 kipindi cha ITV dk 45 kikianza kurushwa hewani, mtangazaji wake wa kwanza ni Selemani Semunyu.
Huyu mtangazaji alipotea ghafla na kipindi kuanza kuendeshwa na watangazaji wengine tofauti.
Je mtangazaji huyu yupo kituo gani cha habari kwa sasa! Au kaacha kazi na kwenda kusoma?