Lyrics Master
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 470
- 621
huyu jamaa sio wa era ya ma baunsa,jamaa wa kitambo sana,ila pia msanii kuwa na walinzi sio mbaya maana wanawindwaWatu hawa ni wajinga.
Wakishakuwa na kaumaarufu kidogo waajiri mabaunsa wa kuwalinda wakati hakuna mtu mwenye muda nao.
Ni wajinga
Nafikiri huu ni wimbo bora kabisa kuwahi kuimbwa na D knob.Elimu mitaani.com nimeisikiliza hata leo. Ninayo hii ngoma
Acha kugenelize kama hujui yupo wap kaa kmya dogoWatu hawa ni wajinga.
Wakishakuwa na kaumaarufu kidogo waajiri mabaunsa wa kuwalinda wakati hakuna mtu mwenye muda nao.
Ni wajinga
Inaitwa "bora tumeachana" ft Matonyanamkubali sana,anadai demu wake haku enjoy alimpomkwea so ikabidi waachane, hiyo ngoma sikumbuki inaitwaje
the guy is in deed talented
Flow ya D knob, na flow ya Jose Mtambo, huwezi kuiga!Nilikuwa mkali wa kukalili flow za wasanii ila kwa Dknob alikuwa ananitoa jasho sana na Fid q
Basi mimi mtambo nilikuwa natiririka kama mi ndo yeye.Flow ya D knob, na flow ya Jose Mtambo, huwezi kuiga!
Jose Mtambo kipaji kile,Darasa Huru ni moja ya ngoma zake bora za muda woteFlow ya D knob, na flow ya Jose Mtambo, huwezi kuiga!
nashukuru MkuuInaitwa "bora tumeachana" ft Matonya
Flow ya D knob, na flow ya Jose Mtambo, huwezi kuiga!
Basi we noma mkuu!Basi mimi mtambo nilikuwa natiririka kama mi ndo yeye.
Huhaa!!!daah mwamba ni mkali sana nikiwa gheto la masela na winn forest ya zamani, hahaaa enzi za mbya benki kuu kwa sana kuchukua noti mpya mpya. Maisha matamu sana D Knob what a talent that has gone missing.Jamaa alikuwa mfalme wa Mitaa kuanzia miaka ya 2003 kwa ngoma zake maarufu Kama,
Elimu mitaani.com,
Sauti ya Gharama,
Bomoa Mipango,
Kitu Gani N.k
Yupo wapi huyu mwamba!? Hata Instagram Hana account
View attachment 2014601
Jose Mtambo wa Kigambonino. Yuko kigamboni hukoJose Mtambo yupo wapi siku hizi?
Jina lake limekaa kibabe sana.
Jose Mtambo wa Kigambonino. Yuko kigamboni huko
Ngoma inaitwa Bora Tumeachananamkubali sana,anadai demu wake haku enjoy alimpomkwea so ikabidi waachane, hiyo ngoma sikumbuki inaitwaje
the guy is in deed talented