Mzee wa watu ''mwana wa kunyumba'' katulia tuli kwake huko mbezi anakula good time, vp kulikoni? Si unajua naye alirudi kundini? Hivi sasa yeye ni mwanachama safi wa ccm. Zaidi muulize chimi chemponda wa the swahili times blog atakupasha zaidi.
Ni Dr. Alec sio Alex, yupo Mbezi Beach, baada ya kurejea CCM, ili kuwadhibitishia CCM kuwa ni mwenzao, ana over do kuvaa shati la CCM, almost everywhere every day!.
Anaelekea kuwa Dr Feki
Ni Dr. Alec sio Alex, yupo Mbezi Beach, baada ya kurejea CCM, ili kuwadhibitishia CCM kuwa ni mwenzao, ana over do kuvaa shati la CCM, almost everywhere every day!.
Ila yuko social sana, anaongea sana na kale ka slogan chake bado hajakaacha, ni dalili kuwa ame give up, ameamua kustaafu kwa amani mahali kwenye uhakika zaidi CCM, kwa hawa wastaafu wetu wa siasa ambao wanategemea good will zaidi kwenye polituical survival zao kuliko struggle.