yupo wapi Alan mulumba wa diamond musica

yupo wapi Alan mulumba wa diamond musica

brazuka

Senior Member
Joined
May 30, 2014
Posts
159
Reaction score
257
walikuwa wazee wa silent inn kila jumamos. kwa wakubwa wenzangu wa kitambo hicho yupo yule rapa wao Allan mulumba??!!
 
walikuwa wazee wa silent inn kila jumamos. kwa wakubwa wenzangu wa kitambo hicho yupo yule rapa wao Allan mulumba??!!

Yupo DSM ila havimi. Ile kitu ya silent inn pembeni akikaa Jesus duuu haitarudi
 
Duuh nakumbuka kitambo koffi olomide , defao walishapgaga show pale dah years back. Lilikuwaga bonge la kiwanja aisee
 
Meya wa jiji,daah jamaa alivamiaga jukwaa la Wenge musika,JB alisimamisha musiki jamaa atolewe katika stage....
 
mwenye wimbo kimalu kimalu wa Diamond Musica International ya enzi zile atuwekee hapa.
 
kama kuna mtu ana wimbo wa neema wa diamond musica plz

Neema kumbuka kupata ni majaliwa mapenzi sio mali wala.... penzi ni dhamana ya moyo wangu tu yoooo

Kitambo sana , nilishautafuta sana lakini wapi. Kama kuna mtu anao atuwekee hapa jamani
 
mwenye wimbo kimalu kimalu wa Diamond Musica International ya enzi zile atuwekee hapa.

Mkuu mi naambulia kukupa mstari huu tuu....
Daladala shiling mia shuka mama silent inn ooh twende tucheze..
 
Kuna kipande alikitupiaga kinasema hivi; "Fred wapi bambongo, dollari pambapamba!", kikiwa na maana "Fred wapi pesa zetu, pesa haina thamani!", hii ni baada ya mmilik wa bend bw. Fred Rwegasira kushindwa kulipa pesa za wanamuzik wa bend kwa wakati.
 
Neema kumbuka kupata ni majaliwa mapenzi sio mali wala.... penzi ni dhamana ya moyo wangu tu yoooo

Kitambo sana , nilishautafuta sana lakini wapi. Kama kuna mtu anao atuwekee hapa jamani

daah, nakumbuka enzi za silent inn, balaa tupu
 
walikuwa wazee wa silent inn kila jumamos. kwa wakubwa wenzangu wa kitambo hicho yupo yule rapa wao Allan mulumba??!!

Sijui km atatokea rapa kama huyu jamani! yuko wapi anayejua atujuze.
 
Mkuu mi naambulia kukupa mstari huu tuu....
Daladala shiling mia shuka mama silent inn ooh twende tucheze..


Kimalumalu ezanga mbwila ye kumang'ana Silent-ine, kende kotala motema na ngai, mwana daimondo
Kimalumalu ezanga mbwila ye kumang'ana Silent-ine, kende kotala motema na ngai, wana daimondo
Daladala shingi mia tu, kumang'ana silent-ine na kende kotala motema na ngai, wana daimondo


Huyo alikuwa mtunzi Elystone Angai. Tafuta threads nyingine utakuta animeweka link ya Soundcoud account yangu yenye hizi nyimbo mbili tatu! I could have posted here as well but this being such anold post, can't see the necessity!
 
Kimalumalu ezanga mbwila ye kumang'ana Silent-ine, kende kotala motema na ngai, mwana daimondo
Kimalumalu ezanga mbwila ye kumang'ana Silent-ine, kende kotala motema na ngai, wana daimondo
Daladala shingi mia tu, kumang'ana silent-ine na kende kotala motema na ngai, wana daimondo


Huyo alikuwa mtunzi Elystone Angai. Tafuta threads nyingine utakuta animeweka link ya Soundcoud account yangu yenye hizi nyimbo mbili tatu! I could have posted here as well but this being such anold post, can't see the necessity!

....umenikumbusha mbaliii; elyston angai, mustahiki meya wa jiji alain mulumba kashama...
 
Back
Top Bottom