Yupo wapi Abdulhalim Hafidhi Ameir?

Yote kwa yote, msala wote abebeshwe samia tu maana yeye ndo alikua amri jesh mkuu (kauli ya mwisho). Kwann abariki yote yale yatokee!
huwa nakereka sana , mlitaka mmpak wakucchomme wewe ndo ujue wale walikuwa maharamia?
 
yaani sentesi moja imekuhanganya umejibu gazeti? unaipwa sh ngapi na maFISIEMU uyatete humu? au ni buku 7 ndio bei yako!
Uzalendo tu, mimi sio wale vijana wanaochoma vituo vya mwendokasi halafu wadogo zao wanaanza kupata taabu ya usafiri wa kuwafikisha mashuleni
 
Ila Mungu huyu
Yaani mtu anapata utajiri na anaishi Kwa anasa Kwa kuuwa binadamu.
Naomba Mungu damu za Watanganyika wenzetu zisiende bure
yeye hakuangaika na kulinda utawala wake aliwalinda akina billnass, shilole, devoice, lake oil, ester luxxury coaches, shabiby na abood wengi wasiendelee kudhurukika vibaka vimbwa kokoko vikaingia kumi na nane walikuwa wanajipa moyo eti piga tu , mbona hawajatoka tena mbwa kabisa
 
"Life is about to kill or get killed"--Abdul Hafidhi Ameir on twitter/X in 2014
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…