FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,924
- 11,305
Aisee hili limenishangaza Leo siku ya 3 mpenzi wangu aliye course ya haya mambo ya majeshi ghafla tu unfortunately hajibu message Wala hapokei simu
Rafiki yake wanawasiliana vizuri tu ila Mimi ni na hakuna nilicho mkosea Wala tulichokwazana
Je apo nifanyeje?
Rafiki yake wanawasiliana vizuri tu ila Mimi ni na hakuna nilicho mkosea Wala tulichokwazana
Je apo nifanyeje?