Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,352
- 9,810
Habari wakuu, napenda kupata maoni ya ni nani ni mchezaji bora wa ligi ya Vodacom Premium League,kutoka katika timu mbalimbali zinazoshiriki ligi hii hapa Tanzania.Naomba unitajie mchezaji mmoja tu.Kwangu mimi naona Kichuya ni mchezaji bora zaidi mwaka huu.