nyanimzungu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 1,204
- 928
Hakuna kama roma.
Msafiri Kondo a.k.a Travellar(solo Thang)Nikk mbishi
Baba malcom
Zohan
Mbishi
Unju bin unuk
Jogooo
Majina kibao sio
Masikini wa bahati,Tajiri wa Mikosi---Solo thang!!Msafiri Kondo a.k.a Travellar(solo Thang)
mdudu
uwezo mia ft zilla
travellar
ndugu zangu
and many more
Kwakuimba "k"Roma mkatoliki ni shida
umbwa hua wa dunua nchi zle level za kwa trump uwezo wake hauonekani labda kwa sababu alizaliwa Dunia ya 3Chindo man (umbwa)
Umbwa ni noma na nusu hua nataman akutane na Nikki mbishi pale katiumbwa hua wa dunua nchi zle level za kwa trump uwezo wake hauonekani labda kwa sababu alizaliwa Dunia ya 3
Huyu jamaa kwangu naona ni mpiga kelele tu !Roma wa ukweli haogopi
Hana logic em sikilizen I'm sorry jk idea kama io Roma ad anakufa atungi... Kwenye cypher mwaka huu kaiba mistari ya mbishiHuyu jamaa kwangu naona ni mpiga kelele tu !
daaah mmemsahau king of Rhymes Afande sele ni great artist of all timeHabari za weekend wanajamvi.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,unafkiri ni nani unazani ni best hip hop man kwa hapa Tanzania? Na kwanini??
Binafsi my best ever rapper of Tz ni FID Q.sina manen ya kumdescribe huyu jamaa,ila kama kwenye mpira basi ningesema ni fundi haswaaa.
Kifupi anajua sana huyu jamaa.referred to the songs like;
1ropaganda.
2:Sumu.
3:Ielewe mitaa.
4:I am a professional.
5:Bongo hip hop.
6:sihitaji marafiki.
7:Nyota ya mchezo.
8:Mwanza Mwanza.
9:Mama.
10:Chagua moja n.k..
Binafsi nnaenjoy na kupata madini yakutosha nimsikilizapo huyu jamaa.pia ni mtu ambae anaejiheshim na kuwaheshim wengine.
Tupia na wewe msanii wako bora wa hip hop kutoka TZ na umwelezee kwanini yeye.
# sanaa kwaajili ya kuelimisha&kuburudisha.View attachment 487170