Picha inaleta ubaguzi, imewabagua kutokana na dini zao kwa nini Wagalatia ndo wamevaa KiCCM AFU bila viatu ilhali Hao wa Dini ya Haki wamevaa suti?
Picha inaleta ubaguzi, imewabagua kutokana na dini zao kwa nini Wagalatia ndo wamevaa KiCCM AFU bila viatu ilhali Hao wa Dini ya Haki wamevaa suti?
Nami nimeliona hilo. Wale wa dini ya kuvaa mabomu mwilini na ambayo kula ubwabwa ni mojawapo ya ibada, wamevaa suti nyeusi. Mchoraji amejitahidi sana kutumia rangi ambazo zina tafsiri fulani ya kiroho kwa hiyo dini unayosema ya wagalatia.
lol, wajameni ndio uchambuzi huu? haya viona mbaliNami nimeliona hilo. Wale wa dini ya kuvaa mabomu mwilini na ambayo kula ubwabwa ni mojawapo ya ibada, wamevaa suti nyeusi. Mchoraji amejitahidi sana kutumia rangi ambazo zina tafsiri fulani ya kiroho kwa hiyo dini unayosema ya wagalatia.
Tutaliangamiza taifa kwa midomo yetu wenyewe, yanayotokea Nigeria yalianza kama hivi, tunapandikiza mbegu mbaya sana ya chuki za kidini, sijui tutamlaumu nani
Vita vya kidini havina mshindi bali itakuwa na kuuana kuuana na kuharibu, huku waathirika wakubwa wakiwa ni maskini, watoto, wazee na akina mama, ambao wote hao ni ndugu, rafiki na jamaa zetu
Tunapopost habari zihusuzo dini na imani hasa ukristo na uislam tutafakari kwa makini yale tunayoyaandika, tusije Yukawa kwa kila andishi tukawa tunajiandalia kiama kwa wana na wana wa wana wetu
Picha inaleta ubaguzi, imewabagua kutokana na dini zao kwa nini Wagalatia ndo wamevaa KiCCM AFU bila viatu ilhali Hao wa Dini ya Haki wamevaa suti?
wameshindwa kumuelewa aliposema maisha bora. kwa kweli ana misemo ambayo kuitafsiri nu tabu. kama huu AKILI YA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZA KWAKO.dadavua mjomba au ndio uko bize na toroli