Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
Hahahahahaha tit for tatlabda kaka yako ndo yuko pembeni kwa taarifa yako.
Hahahahahaha tit for tatlabda kaka yako ndo yuko pembeni kwa taarifa yako.
Mdogo wangu anahangaika, anataka kuoa. Ana mabinti wawili hawajuani, ila mie nawajua wote. Mmoja ni mlevi kupindukia na mwingine ana bwana pembeni (kaka yangu hajui hili). Je kati ya hawa yupi anamfaa ndugu yangu?
Mdogo wangu anahangaika, anataka kuoa. Ana mabinti wawili hawajuani, ila mie nawajua wote. Mmoja ni mlevi kupindukia na mwingine ana bwana pembeni (kaka yangu hajui hili). Je kati ya hawa yupi anamfaa ndugu yangu?
Mdogo wangu anahangaika, anataka kuoa. Ana mabinti wawili hawajuani, ila mie nawajua wote. Mmoja ni mlevi kupindukia na mwingine ana bwana pembeni (kaka yangu hajui hili). Je kati ya hawa yupi anamfaa ndugu yangu?
Naye hana usafi wowote. Angekuwa msafi asingekuwa na vibinti viwili.
kimeo + kimeo = MAGAMBA
anaefaa kuwa wifi yako ni yule ambaye Mungu amemuandalia kaka yako.
Mdogo wangu anahangaika, anataka kuoa. Ana mabinti wawili hawajuani, ila mie nawajua wote. Mmoja ni mlevi kupindukia na mwingine ana bwana pembeni (kaka yangu hajui hili). Je kati ya hawa yupi anamfaa ndugu yangu?
Mdogo wangu anahangaika, anataka kuoa. Ana mabinti wawili hawajuani, ila mie nawajua wote. Mmoja ni mlevi kupindukia na mwingine ana bwana pembeni (kaka yangu hajui hili). Je kati ya hawa yupi anamfaa ndugu yangu?
je is there any perfect person existing under the sun? Kila mtu ana tabia zake mbaya, tukisema aendelee na kurukaruka ataukwaa mdudu na pia kuna uwezekano mkubwa akapata msichana wa hovyo kuliko hawa.
mdogo wako ni msafi kiasi gani???????????