Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,325
Ivi ni yupi huwa kichaa zaidi?, au yupi ni mvumilivu ??
Demu anaye mzimikia mwanaume au mwanaume aliye mzimikia demu.
Mimi binafsi naona wanaume ni wavumilivu kuliko wanawake. Mwanamke akikuzimikia utakoma.
Anaweza kuvua nguo zake zote ili mradi tuu umkubalie.
Demu anaye mzimikia mwanaume au mwanaume aliye mzimikia demu.
Mimi binafsi naona wanaume ni wavumilivu kuliko wanawake. Mwanamke akikuzimikia utakoma.
Anaweza kuvua nguo zake zote ili mradi tuu umkubalie.