Yupi afadhali

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,108
18,325
Ivi ni yupi huwa kichaa zaidi?, au yupi ni mvumilivu ??

Demu anaye mzimikia mwanaume au mwanaume aliye mzimikia demu.

Mimi binafsi naona wanaume ni wavumilivu kuliko wanawake. Mwanamke akikuzimikia utakoma.

Anaweza kuvua nguo zake zote ili mradi tuu umkubalie.
 
Ivi ni yupi huwa kichaa zaidi?, au yupi ni mvumilivu ??

Demu anaye mzimikia mwanaume au mwanaume aliye mzimikia demu.

Mimi binafsi naona wanaume ni wavumilivu kuliko wanawake. Mwanamke akikuzimikia utakoma.

Anaweza kuvua nguo zake zote ili mradi tuu umkubalie.

Tychicus
Duh..............shouldnt this then, have been wanawake ni vichaa zaidi kuliko wanaume? Or how does "Mwanamke anayevua nguo zake ili tu akubaliwe" support the premise , "wanaume ni wavumilivu kuliko wanamke",??Nauliza maana for a min I was confused........................Anyways, back to the topic mimi I beg to differ , I believe "uvumilivu" or "ukichaa" wa mapenzi is dependant on a person rather than gender.
 
Tychicus
Duh..............shouldnt this then, have been wanawake ni vichaa zaidi kuliko wanaume? Or how does "Mwanamke anayevua nguo zake ili tu akubaliwe" support the premise , "wanaume ni wavumilivu kuliko wanamke",??Nauliza maana for a min I was confused........................Anyways, back to the topic mimi I beg to differ , I believe "uvumilivu" or "ukichaa" wa mapenzi is dependant on a person rather than gender.

Habari ndo hiyo!!!
 
It might be true! Lakini kwani kati yao ni nani anahisia zaidi za kupenda?
 
Back
Top Bottom