nenda blogu ya michuzi utanyoosha kamnyama kako
nipe link bana manake kamnyama kamegoma kabisaaa yaani hata kuburutika kanashindikana
weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee............kwani una kucha nzurinzuri? litaje uone...........hata mm nashangaa na tabasamu lake la ndoa, lakn hii ni sifa ya majambawazi pia,na huenda wana uhakika wa kuchomoamweeeh! wewe Ggggggggg ahaaaaa! nilisahau bana nilitaka kukuita jina lako la kiyahudi ......
mbona huyu mfanyabiashara meno yamekaa kama aliwah kukumbwa na dhoruba akavunjwa jino??