Yule Professor Aliyetuita watanzania washamba yuko wapi ?

Yule Professor Aliyetuita watanzania washamba yuko wapi ?

MIUNDOMBINU

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2010
Posts
466
Reaction score
101
Mhe. Profesa Muhongo amewahi kusema kwamba Watanzania ni wavivu wa kufikiri, wavivu wa kusoma na washamba sana katika masuala ya uwekezaji na kwamba uwezo walionao Watanzania ni kuuza juisi au soda.

Mheshimiwa popote pale ulipo, Mungu anakuona na atakuhukumu kwa matusi yako kwa wa Tanzania!. .
 
Mhe. Profesa Muhongo amewahi kusema kwamba Watanzania ni wavivu wa kufikiri, wavivu wa kusoma na washamba sana katika masuala ya uwekezaji na kwamba uwezo walionao Watanzania ni kuuza juisi au soda.

Mheshimiwa popote pale ulipo, Mungu anakuona na atakuhukumu kwa matusi yako kwa wa Tanzania!. .
Ni rifikiria umekuja kupinga hoja zake kwa kukanusha aliyotasema ukiwa na ushahidi.

Tatizo sisi wa tz tukiambiwa ukweli, basi tumetukanwa

Sayo yoooote ni sifa za mtanzania
 
Mhe. Profesa Muhongo amewahi kusema kwamba Watanzania ni wavivu wa kufikiri, wavivu wa kusoma na washamba sana katika masuala ya uwekezaji na kwamba uwezo walionao Watanzania ni kuuza juisi au soda.

Mheshimiwa popote pale ulipo, Mungu anakuona na atakuhukumu kwa matusi yako kwa wa Tanzania!. .
Alichokisema prof ndiyo ukweli kuhusu watanzania wengi.
 
Tatizo walimlamba matako akiwa huko. Kama hakupigwa dushe basi itakuwa hivyo.

Chungeni sana mkienda kusoma ulaya.
 
Darasa la saba alirudia baada ya kufeli. . Akili ya mtu ni utotoni sio ukubwani umejua majukumu
akili ya utoto ndio itaiwezesha nchi kukua kiuchumi? ni wangapi wakati wa utoto wao walikuwa ni watu mbumbumbu lakini walikuja kua wanasayansi wakubwa ukubwani. ungejua vikwazo vya utotoni na ukubwani, nina hakika ungefuta hii comment ili wenzako wasibahatike kuisoma wakaijua akili yako vizuri
 
aL
Darasa la saba alirudia baada ya kufeli. . Akili ya mtu ni utotoni sio ukubwani umejua majukumu
Alifeli kwani alipata division ngapi darasa la saba? Kwa hiyo wote aliomaliza darasa la saba ambao hawakwenda shule za sekondari hasa kwa kipindi hicho alicosoma Pro. Muhongo walikuwa wamefeli mtihani? NDIO MAANA SERIKALI INATUMIA NENO "WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA ELIMU YA SEKONDARI" NA SIYO "WALIFAULU DARASA LA SABA". Miaka ya nyuma shule za sekondari zilikuwa chache sana hivyo ni wanafunzi wachache tu waliomaliza darasa la saba waliokuwa wanaweza kuchukuliwa/kuchaguliwa kuendelea na masomo ya sekondari. Siyo kwamba wengine walioachwa wote walikuwa wamefeli la hasha! Pia kulikuwepo na kitu kinaitwa kubalance kiwango cha wanafunzi wanaoingia sekondari katika mikoa yote. Kuna mikoa mingine ufaulu ulikuwa ni mkubwa mno kuliko mikoa mingine hivyo serikali ilikuwa inawaacha wanafunzi wengi katika mikoa yenye ufaulu mkubwa ili pia kupata balance ya mikoa mingine pia kupeleka wanafunzi shule za sekondari (kutokana na uchache wa shule za sekondari wakatihuo). Katika kubalance idadi ya wanafunzi katika kila mkoa na hata wilaya ndani ya mikoa, kuna mikoa au wilaya nyingine hasa ambazo hazikuwa na mwamko mkubwa wa kielimu alama za ufaulu zilishushwa chin kidogo kulinganisha na mikoa/wilaya ambazo zilikuwa na mwamko mkubwa wa kieleimu! KWA HIYO SIYO KILA AMBAYE HAKUCHAGULIWA KWENDA SEKONDARI (HASA KWA WAKATI HUO) ALIKUWA AMEFELI!
 
DIO MAANA SERIKALI INATUMIA NENO "WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA ELIMU YA SEKONDARI" NA SIYO "W
Wakat Muhongo anamaliza darasa la saba wanafunzi walikuwa wanafaulu darasa la saba, kuchaguliwa imeanza kwenye miaka ya 1990
 
Mhe. Profesa Muhongo amewahi kusema kwamba Watanzania ni wavivu wa kufikiri, wavivu wa kusoma na washamba sana katika masuala ya uwekezaji na kwamba uwezo walionao Watanzania ni kuuza juisi au soda.

Mheshimiwa popote pale ulipo, Mungu anakuona na atakuhukumu kwa matusi yako kwa wa Tanzania!. .
Wala hajakosea. Watanzania wengi ni wavivu wa kusoma na kufikiri. Wanapenda kufatilia burudani na udaku tu ila mambo ya msingi hola!
 
Mhe. Profesa Muhongo amewahi kusema kwamba Watanzania ni wavivu wa kufikiri, wavivu wa kusoma na washamba sana katika masuala ya uwekezaji na kwamba uwezo walionao Watanzania ni kuuza juisi au soda.

Mheshimiwa popote pale ulipo, Mungu anakuona na atakuhukumu kwa matusi yako kwa wa Tanzania!. .
Hakuna cha uongo alichokisema ukizingatia "CHEREHANI TANO NI KIWANDA NA WA DARASA LA SABA NI WELEDI KULIKO WABOBEZI!!"
 
The late R Mengi aliambiwa hana uwezo wa kuwekeza kwenye gesi labda awe dalali. Mengi akaumia sana kwa ukweli huo.
 
Mhe. Profesa Muhongo amewahi kusema kwamba Watanzania ni wavivu wa kufikiri, wavivu wa kusoma na washamba sana katika masuala ya uwekezaji na kwamba uwezo walionao Watanzania ni kuuza juisi au soda.

Mheshimiwa popote pale ulipo, Mungu anakuona na atakuhukumu kwa matusi yako kwa wa Tanzania!. .
Wewe unaona alikosea angetuita Junglemen maana kuyakubali na kuunga juhudi za viongozi wanaofuata law of jungle kutuongoza, alitupendelea kutuita washamba.
 
Back
Top Bottom