Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,080
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Nataka Ushauri wenu Kuna dada mmoja amenijia ana matatizo hayo hapo chini je Wana JF Naombeni Ushauri wenu nimsaidie vipi? haya someni matatizo yake hapo chini
Mimi nimemsoma dada ditto kuwa anatatizo la kutoka maji mengi wakati wa sex na anakereka. sasa mie nina tatizo tofauti nae la kuwa sitoki hayo maji kabisa wakati wa sex na kusababisha hata uume kuingia kwa tabu na pia mume wangu hafurahii hali hii tunavyofanya mapenzi, ananiomba nitoe maji, pengine hasikii raha bila hayo maji, sasa mie sina hayo maji. je nifanyeje naomba ushauri:-chausiku[/FONT]
Mimi nimemsoma dada ditto kuwa anatatizo la kutoka maji mengi wakati wa sex na anakereka. sasa mie nina tatizo tofauti nae la kuwa sitoki hayo maji kabisa wakati wa sex na kusababisha hata uume kuingia kwa tabu na pia mume wangu hafurahii hali hii tunavyofanya mapenzi, ananiomba nitoe maji, pengine hasikii raha bila hayo maji, sasa mie sina hayo maji. je nifanyeje naomba ushauri:-chausiku[/FONT]
Last edited by a moderator: