nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Sijakataa kama zipo au hazipo...ila nachosema hao watakuwa wanaishi kama kaka na dada...maana najaribu kuvuta taswira watakuwa wana 'do' viiiipiiii huku ni maadui?????!!!!
Ndio maana kununa kunaenda sambamba na likizo (break), mgomo...kununa=hupati kitu.
Ndio maana kununa kunaenda sambamba na likizo (break), mgomo...kununa=hupati kitu.
kuwa uone aisee..
kuna ndoa hadi unajiuliza 'walikutana wapi'?