Yuko wapi Waziri wa Madini Angella Kairuki?

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
26,534
Reaction score
61,964
Ni muda umepita huyu Waziri wa Madini, Angela Kairuki sijamsikia iwe Bungeni, kwenye shughulu za Serikali au hata kwenye shughuli za kijamii.

Nilitegemea angetupa mrejesho ule ukuta wa Mererani umefikia wapi? Atupe mrejesho kuhusu makinikia na malipo yetu.

Yuko wapi Anjela Kairuki?
 
Jioni ya leo utaanza ku left magroup
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…