Yuko wapi Tiagi Masamaki?

Kash911

Member
Joined
Jun 5, 2013
Posts
48
Reaction score
17
Habari yenu wanajamvi,

Naomba kufahamishwa aliko huyo bwana mkubwa, maana tangu akamatwe na polisi hamna feedback yoyote inayotolewa. Ikumbukwe kwamba Masamaki alituhumiwa kuwa na utajiri wa mali nyingi ikiwemo nyumba zaidi ya 70.

Ningependa sana kufahamishwa aliko kwa sasa.

Natanguliza shukrani.
 
Naona unaanza uchochezi ,na utakipata unacho kitafuta
 

Bila kusahau wale jamaa wa milioni kadhaa kwa kila dakika sikuizi hakuna cha taarifa ya habari wala magazeti au ndio kusema vyombo vyetu vya habari vilirambishwa?....maana mwanzoni kila walipo pelekwa mahakamani tulijuzwa kwa tv na magazeti lakini sikuizi kimya
 
Ile movie imekwisha, now ni drugs.
 
Subiri kdgo tunashughulikia tatizo la unga
 
Masamaki yupo chanika huku anaendeleza tu mijengo yake.
 
Mkuu unaturudisha nyuma!!! Hizi habari za masamaki zimeshapitwa na wakati. Sasa hivi habari ya mjini ni watu kutajwa hadharani wanaojihusisha na madawa ya kulevya. Wanakamatwa, tunafuatilia halafu baada ya muda wanatoka aidha kwa dhamana au wanasafishwa mfano askofu gwajima.
 
Hahahaaa....bado kitilya
 


Huyu alishavuliwa na kuwekwa ndani ya tenga, nafikiri kwa sasa atakuwa anapaliliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…