We kweli mpum..vu, walioomba bungeni suala hilo lijadiliwe kwa dharula na kukataliwa ni nani?
Mbona mnalishwa ujinga hapo Lumumba na kuwakosea heshima watu?
Halafu kuna watu wanamdharau Mange kama vile hana akili, Rais wa nchi akitokea kumjibu mtu ujue huyo mtu kajibiwa na serikali yote. Mange yuko sawa au hayuko sawa itabaki kuwa sio mtu wa mchezo
Mbona kimya hivi Sheikh Mkuu wa BAKWATA Dar? Ni kipindi kirefu hatujasikia matamko yake. Kipindi hiki ambacho tumekuwa na sintofahamu kuhusu usalama na amani ya nchi kwa hakika alivyokuwa msemaji sana hangenyamaza bila kutoa kauli.