Yuko wapi Ridhiwani Kikwete?

Yuko wapi Ridhiwani Kikwete?

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
11,449
Reaction score
9,739
Habari za jumapili wakuu.
Ndugu zangu Wapemba poleni na kadhia mnayokutana nayo kwa sasa Mungu yupo nanyi.

Leo nimemkumbuka Prince wa zamani wa Nchi hii, ambaye alikuwa na kauli nzito na za kichochezi katika utawala uliopita hata kudiriki kutuambia Rais ajaye hatatoka KASKAZINI.

Ni muda mrefu sasa Ridhiwani J. Kikwete hajasikika au kuonekana kwenye media walau basi hata kuzungumzia utawala wa JPM.

Je yuko wapi Mbunge huyu wa Chalinze kwa sasa?
 
Huyu hapa anakabidhiwa gari la wagonjwa kwa ajili ya wilaya/jimbo lake la Chalinze lililotolewa na Anko Magu.
upload_2016-3-19_23-55-11.jpeg
 
Juzi alionekana Star Tv akikabidhiwa gari Toyota Landcruiser Hardtop nyeupe kwaajili ya wagonjwa wa jimbo lake la Chalinze, Msaada ulitolewa na Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Mheshimiwa Dr John Pombe Joseph Magufuli kwa kuwajali Watanzania wa jimbo hilo.
 
Habari za jumapili wakuu.
Ndugu zangu Wapemba poleni na kadhia mnayokutana nayo kwa sasa Mungu yupo nanyi.

Leo nimemkumbuka Prince wa zamani wa Nchi hii, ambaye alikuwa na kauli nzito na za kichochezi katika utawala uliopita hata kudiriki kutuambia Rais ajaye hatatoka KASKAZINI.

Ni muda mrefu sasa Ridhiwani J. Kikwete hajasikika au kuonekana kwenye media walau basi hata kuzungumzia utawala wa JPM.

Je yuko wapi Mbunge huyu wa Chalinze kwa sasa?
Mkuu hiyo kamuulize makonda atakupa jibu mujaraabu
 
Juzi alionekana Star Tv akikabidhiwa gari Toyota Landcruiser Hardtop nyeupe kwaajili ya wagonjwa wa jimbo lake la Chalinze, Msaada ulitolewa na Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Mheshimiwa Dr John Pombe Joseph Magufuli kwa kuwajali Watanzania wa jimbo hilo.
Hizo ela zilitoka mfukoni mwa magu au ni kodi za watanzania?
 
Acha wapumzike kazi walioifanya sio ndogo! Wameifanya nchi imekuwa hovyo na kama haina mwenyewe! Wameteneneza mitandao wa wezi wa mali ya umma kila sehemu! Wafanyabiashara walikuwa hawaguswi na hawalipi kodi hasa mafuta na containers za wafanya biashara wa kariakoo! Ule usemi wa zamu yetu hatukuuelewa mwanzoni
 
Acha wapumzike kazi walioifanya sio ndogo! Wameifanya nchi imekuwa hovyo na kama haina mwenyewe! Wameteneneza mitandao wa wezi wa mali ya umma kila sehemu! Wafanyabiashara walikuwa hawaguswi na hawalipi kodi hasa mafuta na containers za wafanya biashara wa kariakoo! Ule usemi wa zamu yetu hatukuuelewa mwanzoni
Acha Wivu Wa Kike
 
Nambie kiongozi wangu leo furaha sana mkuu hali yako njema nn mkuu hahahahahahahahaha
 
Habari za jumapili wakuu.
Ndugu zangu Wapemba poleni na kadhia mnayokutana nayo kwa sasa Mungu yupo nanyi.

Leo nimemkumbuka Prince wa zamani wa Nchi hii, ambaye alikuwa na kauli nzito na za kichochezi katika utawala uliopita hata kudiriki kutuambia Rais ajaye hatatoka KASKAZINI.

Ni muda mrefu sasa Ridhiwani J. Kikwete hajasikika au kuonekana kwenye media walau basi hata kuzungumzia utawala wa JPM.

Je yuko wapi Mbunge huyu wa Chalinze kwa sasa?
Ukishajua Itakusaidia NINI?
 
Habari za jumapili wakuu.
Ndugu zangu Wapemba poleni na kadhia mnayokutana nayo kwa sasa Mungu yupo nanyi.

Leo nimemkumbuka Prince wa zamani wa Nchi hii, ambaye alikuwa na kauli nzito na za kichochezi katika utawala uliopita hata kudiriki kutuambia Rais ajaye hatatoka KASKAZINI.

Ni muda mrefu sasa Ridhiwani J. Kikwete hajasikika au kuonekana kwenye media walau basi hata kuzungumzia utawala wa JPM.

Je yuko wapi Mbunge huyu wa Chalinze kwa sasa?

Sisi ndio tumepunguza kumjadili ila yeye ni kama kawaida na Maisha yake. Kila utawala na mtu wake wa kuzushiwa hata enzi za Mzee Mwinyi yalipoingia Magari ya abiria DCM wazushi wakayaita ni kifupisho cha David Cleopa Msuya (PM) wa wakati huo, Zikaja bia za kopo za Stella tukaambiwa ni za Mama Sitti Mwinyi na hivi karibuni kila jengo tutaambiwa la Mama Janet Magufuli
 
HIVI, jamani chalinze mzee Kikwete hakupereka hata Gar ya kubebea wagonjwa? Mpaka mzee wangu wa Magu aitoe kwa haraka? haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa zama za Ridhiwani zimekwisha, SASA ni dhama zetu wote kutesa, maana mzee wa Magu amesema tufuraie uraisi wake, we kipindi kile mpka rafiki yangu kipenzi tuliyekuw kuticheza pamoja pale NAMANGA MAKANGIRA, alinisahu, hata kunipereka kwa mzee anipe hata uandishi wa habari pale maelezo. namlaani sana maana nilikosa pesa kipindi kire utawala uhuuu mi nalia sanaaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom