MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,699
- 31,510
Huyu mtaalamu kama vile kapotea sioni visa na mikasa yake
Yupo liquid
Weeeh! utaniambia makutano ni wapiTwende kumwona Tar 28 Jumamosi
Weeeh utaniambia makutano ni wapi
Dalali wa hayo mazaga pale keko.Niliwahi kusikia eti huwa nje ya umaarufu anamiliki duka la samani huko Keko labda ndio yuko busy nalo.
ha ha ha ha ha ha ha da jamaa yuko totaly fustrated yani ana PhD lakini haimsaidiii chochote alafu najiuliza emalis zipo kwanini asimtafute mke wake na watoto wake kama alikua tajiri kiasi icho.View attachment 1302017
Mwenzake huyu hapa
Piere yupo mkuu nenda liquid bar kurasini kule njia kama unaenda kigamboni utamkuta ndio kijiwe chake kikubwaHuyu mtaalamu kama vile kapotea sioni visa na mikasa yake
Duuh!! Kumbe alikuwa anajimwambafay na sio mmiliki bali dalali. LolDalali wa hayo mazaga pale keko.