Yuko wapi Nyaronyo Kicheere jamani

Yuko wapi Nyaronyo Kicheere jamani

MKEHA

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
716
Reaction score
1,144
Nyaronyo Kicheere wakati huo akiandikia magazeti ya MAWIO na Mwana HALISI akinikosha sana kwa style yake ya uandishi akifikisha ujumbe kwa njia ya uchekeshaji wenye ukweli ndani yake .

Mwalimu huyo wa zamani huko Morogoro kwa sasa akiwa wanasheria akiandika kwa ku refer kabila lake la Kikurya. Aliandika mambo mengi sana ya kufurahisha.

Lakini si peke yake hata Mbwambo wa gazeti la RAIA MWEMA nae kapotea. Magazeti hayo yakiandika habari za kuvutia sana.

Kusema kweli siku hizi hata gazeti sinunui kwa sababu sioni wanacho kiandika. Naona kama media houses zime paralyse. Mwaka karibia wa pili sinunui gazeti japo vitabu nasoma sana. Waandishi wa magazeti wakati huo wakiwa na nguvu kweli za kuset agenda. Nakumbuka sana akina Salva Rweyemamu wakiwa New Habari wakitikisa kweli kweli mpaka wakafika hatua ya kuwa maafisa habari wa Ikulu
 
Nyaronyo Kicheere yupo Dar es Salaam, anajishughulisha kama Mwanasheria. Kuna kijiwe kimoja huwa anakuja kila wiki pale CBD. Mzima wa afya.
 
Nyaronyo Kicheere wakati huo akiandikia magazeti ya MAWIO na Mwana HALISI akinikosha sana kwa style yake ya uandishi akifikisha ujumbe kwa njia ya uchekeshaji wenye ukweli ndani yake .

Mwalimu huyo wa zamani huko Morogoro kwa sasa akiwa wanasheria akiandika kwa ku refer kabila lake la Kikurya. Aliandika mambo mengi sana ya kufurahisha.

Lakini si peke yake hata Mbwambo wa gazeti la RAIA MWEMA nae kapotea. Magazeti hayo yakiandika habari za kuvutia sana.

Kusema kweli siku hizi hata gazeti sinunui kwa sababu sioni wanacho kiandika. Naona kama media houses zime paralyse. Mwaka karibia wa pili sinunui gazeti japo vitabu nasoma sana. Waandishi wa magazeti wakati huo wakiwa na nguvu kweli za kuset agenda. Nakumbuka sana akina Salva Rweyemamu wakiwa New Habari wakitikisa kweli kweli mpaka wakafika hatua ya kuwa maafisa habari wa Ikulu
Sasa kama hununui gazeti mwaka wa pili sasa wao watakula wapi, maana kuandika hakulipi kabisa siku hizi...
 
Back
Top Bottom