MKEHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 716
- 1,144
Nyaronyo Kicheere wakati huo akiandikia magazeti ya MAWIO na Mwana HALISI akinikosha sana kwa style yake ya uandishi akifikisha ujumbe kwa njia ya uchekeshaji wenye ukweli ndani yake .
Mwalimu huyo wa zamani huko Morogoro kwa sasa akiwa wanasheria akiandika kwa ku refer kabila lake la Kikurya. Aliandika mambo mengi sana ya kufurahisha.
Lakini si peke yake hata Mbwambo wa gazeti la RAIA MWEMA nae kapotea. Magazeti hayo yakiandika habari za kuvutia sana.
Kusema kweli siku hizi hata gazeti sinunui kwa sababu sioni wanacho kiandika. Naona kama media houses zime paralyse. Mwaka karibia wa pili sinunui gazeti japo vitabu nasoma sana. Waandishi wa magazeti wakati huo wakiwa na nguvu kweli za kuset agenda. Nakumbuka sana akina Salva Rweyemamu wakiwa New Habari wakitikisa kweli kweli mpaka wakafika hatua ya kuwa maafisa habari wa Ikulu
Mwalimu huyo wa zamani huko Morogoro kwa sasa akiwa wanasheria akiandika kwa ku refer kabila lake la Kikurya. Aliandika mambo mengi sana ya kufurahisha.
Lakini si peke yake hata Mbwambo wa gazeti la RAIA MWEMA nae kapotea. Magazeti hayo yakiandika habari za kuvutia sana.
Kusema kweli siku hizi hata gazeti sinunui kwa sababu sioni wanacho kiandika. Naona kama media houses zime paralyse. Mwaka karibia wa pili sinunui gazeti japo vitabu nasoma sana. Waandishi wa magazeti wakati huo wakiwa na nguvu kweli za kuset agenda. Nakumbuka sana akina Salva Rweyemamu wakiwa New Habari wakitikisa kweli kweli mpaka wakafika hatua ya kuwa maafisa habari wa Ikulu