johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,960
- 141,956
Ni kipindi kirefu sijamsikia huyu mtetezi wa wanyonge Naibu waziri mkuu pekee kuwahi kutokea Tanzania.
Mwenye kujua ukimya wa nguli huyu wa kutetea wanyonge kulikoni anijuze tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
Mwenye kujua ukimya wa nguli huyu wa kutetea wanyonge kulikoni anijuze tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!