Yuko wapi mwanaCCM Ismail Aden Rage?

Cable za kampuni zake zinaitwahe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa namuona pale opposite NIC KITEGAUCHUMI kwenye bonge la ghorofa,nadhani ni lake
 
Well said, mzee Rage hana njaa
 
RAGE yupo na mishe zake zaidi.mfano pale tabora anamiliki kampuni ya uchimbaji wa visima na ana kituo cha redio.

aliwazingua wana mboka walipompiga
chini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mmojawapo wa washauri wa Simba !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…