Yuko wapi Mbunge wa Ukerewe

Yuko wapi Mbunge wa Ukerewe

hitler2006

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2014
Posts
489
Reaction score
457
Mimi ni mdau wa maendeleo ya Wilaya ya Ukerewe.

Mbona Mbunge wetu Machemli simsikii?na kwa walioko Ukerewe vp hali ya kisiasa ya huko nyumbani?
 
Mbunge anatekeleza sera ya serikali, yeye ni sauti ya mananchi eneo husika sasa ikiwa serikali mbovu mipangilio mibovu... muhimu ni kuipiga chini serikali ya mafisadi kwa kuongeza 3/4 ya wapinzani, muhimu ni tuko tayari, Allah atatusaidia.
 
Hivi yupo huyo machemli, hata sijawahi muona tangu mara ya mwisho walipompa mkong'oto akalazwa hospital
 
najiuliza ukimya wake unaashiria wana ukerewe hawana kero yoyote au ushauri wowote kwa serikali?
 
Watu wa Ukerewe wapo na ni makini. Asubuhi huwa ni biashara na jioni ni mahesabu. Machemuli alifanya biashara na Wakerewe. Na sasa muda huu anasubiriwa akatoe mahesabu. Makusanyo ni bei gani kwa kura alizopewa. Nadhani kama hesabu hazitatimia kitaeleweka.
 
machemuli?anafaa kweli kuendelea kuwawakilisha wanaukerewe
 
Mkuu mbona umewasahau mawaziri mizigo unahangaika na mtu mmoja.
 
Wiki iliyopita nilipanda naye Nyehunge, sijui ndo alikuwa anakwenda kuzikusanya za mwisho Dodoma. Alikuwa na uso wa aibu fulani hivi.
 
Back
Top Bottom