Gwata imbwa!.
Nanyie wakerewe bwana! Huyo Makarabai sijui machemli sinahakika kama ni mbunge wa bunge hìli. Hapa nadhani mliingizwa cha kike bila kufahamu. Siku nyingine chagua mtu anaebeba chama sio mtu aliebebwa na chama.
Mimi ni mdau wa maendeleo ya Wilaya ya Ukerewe.
Mbona Mbunge wetu Machemli simsikii?na kwa walioko Ukerewe vp hali ya kisiasa ya huko nyumbani?
Gwata imbwa!.