Yuko wapi Mama yetu Janeth Magufuli?

Status
Not open for further replies.
Jibu rahisi ni different style kati ya uongozi wa Magufuli na marais waliomtangulia na ndio ukweli pekee. haijalishi kama aliyeuliza ana lengo gani lakini ni iswali la kawaida tu mimi mwenyewe leo hii kuna mtu kaniuliza mbona Simsikii Mama Janeth siku hizi? of cource kunaweza kuwa na ageda iliyojificha but si vibaya watu kuwaza juu ya hili na kama kuna mambo ya ndani zaidi si haki yetu kuyajua na tuishie tu hapao!
 
Yupoo na mume wakeeee palee magogoniii
Kama unamuhitajii nenda palee utamuonaaa
 
Uanzishwaji wa mifuko wengine husema eti ndimo wengine huitumia isivyo sahihi!
Sasa naona Huyu mama hataki kabisa mambo hayo na nazani inaendana sambamba na itikakadi ya Mheshimiwa sana wa Safari hii!
Sitarajii baadae tuje kusikia vinginevyo!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…