Hiv huyu makamu wetu wa rais yuko wapi..maana ni muda mrefu sijamsikia ktk line za wtz..na wacwac hata kuna maeneo ya nch hii hajawah kanyaga kabisa tangu ashke nyazifa hiyo..hv kaz yake hasa ni nn?wadau nisaidien kuhusu huyu mtu..kuna umuhimu wwt wa kua na hiyo nafac?