technically JF-Expert Member Joined Jul 3, 2016 Posts 13,555 Reaction score 57,850 Jun 28, 2025 #1 Jana sijaona akitambulishwa bungeni Je ratiba ilipangwa vipi bila yeye kuwepo Ila Viongozi wengine wote wawepo ? Isipokuwa yeye na mkuu wa Majeshi? Je ni ratiba au Kuna sababu nyingine? Au ndio kastaafu Kama tulivyoalifiwa kabla ya muda?
Jana sijaona akitambulishwa bungeni Je ratiba ilipangwa vipi bila yeye kuwepo Ila Viongozi wengine wote wawepo ? Isipokuwa yeye na mkuu wa Majeshi? Je ni ratiba au Kuna sababu nyingine? Au ndio kastaafu Kama tulivyoalifiwa kabla ya muda?
Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 42,436 Reaction score 50,163 Jun 28, 2025 #2 technically said: Jana sijaona akitambulishwa bungeni Je ratiba ilipangwa vipi bila yeye kuwepo Ila Viongozi wengine wote wawepo ? Isipokuwa yeye na mkuu wa Majeshi? Je ni ratiba au Kuna sababu nyingine? Au ndio kastaafu Kama tulivyoalifiwa kabla ya muda? Click to expand... Huku kwetu tumevuruga kila kitu kuanzia katiba yetu wenyewe hadi ya taifa
technically said: Jana sijaona akitambulishwa bungeni Je ratiba ilipangwa vipi bila yeye kuwepo Ila Viongozi wengine wote wawepo ? Isipokuwa yeye na mkuu wa Majeshi? Je ni ratiba au Kuna sababu nyingine? Au ndio kastaafu Kama tulivyoalifiwa kabla ya muda? Click to expand... Huku kwetu tumevuruga kila kitu kuanzia katiba yetu wenyewe hadi ya taifa
D DATAZ JF-Expert Member Joined May 25, 2012 Posts 4,712 Reaction score 11,980 Jun 28, 2025 #3 Ana kazi maalum huku New York!
kichomiz JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 20,250 Reaction score 13,257 Jun 28, 2025 #4 Aisee
Sniper JF-Expert Member Joined Mar 8, 2008 Posts 2,008 Reaction score 949 Jun 28, 2025 #5 Designated Survivors
Course Coordinator1 JF-Expert Member Joined Mar 20, 2025 Posts 525 Reaction score 1,050 Jun 28, 2025 #6 technically said: Jana sijaona akitambulishwa bungeni Je ratiba ilipangwa vipi bila yeye kuwepo Ila Viongozi wengine wote wawepo ? Isipokuwa yeye na mkuu wa Majeshi? Je ni ratiba au Kuna sababu nyingine? Au ndio kastaafu Kama tulivyoalifiwa kabla ya muda? Click to expand... Alienda nje kwenye mkutano kumwakilisha Rais katk mkutano flan nahis ni Paris
technically said: Jana sijaona akitambulishwa bungeni Je ratiba ilipangwa vipi bila yeye kuwepo Ila Viongozi wengine wote wawepo ? Isipokuwa yeye na mkuu wa Majeshi? Je ni ratiba au Kuna sababu nyingine? Au ndio kastaafu Kama tulivyoalifiwa kabla ya muda? Click to expand... Alienda nje kwenye mkutano kumwakilisha Rais katk mkutano flan nahis ni Paris
N Nyundo ya shujaa JF-Expert Member Joined Apr 22, 2025 Posts 399 Reaction score 546 Jun 28, 2025 #7 Sniper said: Designated Survivors Click to expand... Sio kwa nchi hii. Watu ni waroho wa madaraka
B Benny Haraba JF-Expert Member Joined Dec 7, 2012 Posts 15,656 Reaction score 14,615 Jun 28, 2025 #8 technically said: Jana sijaona akitambulishwa bungeni Je ratiba ilipangwa vipi bila yeye kuwepo Ila Viongozi wengine wote wawepo ? Isipokuwa yeye na mkuu wa Majeshi? Je ni ratiba au Kuna sababu nyingine? Au ndio kastaafu Kama tulivyoalifiwa kabla ya muda? Click to expand... Alisha kuambieni anataka kupumzika
technically said: Jana sijaona akitambulishwa bungeni Je ratiba ilipangwa vipi bila yeye kuwepo Ila Viongozi wengine wote wawepo ? Isipokuwa yeye na mkuu wa Majeshi? Je ni ratiba au Kuna sababu nyingine? Au ndio kastaafu Kama tulivyoalifiwa kabla ya muda? Click to expand... Alisha kuambieni anataka kupumzika
Zegreaty JF-Expert Member Joined Nov 24, 2010 Posts 2,433 Reaction score 3,078 Jun 28, 2025 #9 Huko ukiwaambia ukweli tu kuhusu NRNE unaonekana msaliti🤣🤣🤣🤣kama mzee Warioba yani leo Sumaye anaonekana ni bora kulimo Warioba kisa ameongelea kuhusu mabadiliko acha tuone kiburi kitawafikisha wapi. No reform No Election
Huko ukiwaambia ukweli tu kuhusu NRNE unaonekana msaliti🤣🤣🤣🤣kama mzee Warioba yani leo Sumaye anaonekana ni bora kulimo Warioba kisa ameongelea kuhusu mabadiliko acha tuone kiburi kitawafikisha wapi. No reform No Election
2070 JF-Expert Member Joined May 9, 2019 Posts 451 Reaction score 484 Jun 28, 2025 #10 Ondoa/epuka mawazo na fikra hasi Mkuu wa majeshi Namibia Makamu Nigeria
Kiranga Platinum Member Joined Jan 29, 2009 Posts 85,746 Reaction score 145,485 Jun 28, 2025 #11 technically said: Jana sijaona akitambulishwa bungeni Je ratiba ilipangwa vipi bila yeye kuwepo Ila Viongozi wengine wote wawepo ? Isipokuwa yeye na mkuu wa Majeshi? Je ni ratiba au Kuna sababu nyingine? Au ndio kastaafu Kama tulivyoalifiwa kabla ya muda? Click to expand... Makamu wa Rais ana shughuli gani bungeni? Unaelewa watu wa serikali wenye shughuli bungeni ni nani?
technically said: Jana sijaona akitambulishwa bungeni Je ratiba ilipangwa vipi bila yeye kuwepo Ila Viongozi wengine wote wawepo ? Isipokuwa yeye na mkuu wa Majeshi? Je ni ratiba au Kuna sababu nyingine? Au ndio kastaafu Kama tulivyoalifiwa kabla ya muda? Click to expand... Makamu wa Rais ana shughuli gani bungeni? Unaelewa watu wa serikali wenye shughuli bungeni ni nani?
G George Bush Member Joined Sep 8, 2024 Posts 58 Reaction score 42 Jun 28, 2025 #12 Dr Yupo Nje ya Nchi kwa KAZI za Nchi akimwakilisha Mh Rais! Kabla ya kusema tuwe tunafwatilia kujua viongozi wetu wa kitaifa wapo wapi Kwa majukumu Gani!
Dr Yupo Nje ya Nchi kwa KAZI za Nchi akimwakilisha Mh Rais! Kabla ya kusema tuwe tunafwatilia kujua viongozi wetu wa kitaifa wapo wapi Kwa majukumu Gani!
blogger JF-Expert Member Joined Mar 13, 2012 Posts 13,385 Reaction score 16,708 Jun 28, 2025 #13 Muda utanena!