Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 4,623
- 5,066
Ni muda mrefu sasa hatuoni nyuzi mfuatano za ndugu yetu, mzalendo na mnyenyekevu; bwana Lukas Mwashambwa.
Ajitokeze aseme wapi alipo na kwa nini amepoa hivyo.
Ama kuna mtu anayefahamu juu ya haya atueleze.
Ajitokeze aseme wapi alipo na kwa nini amepoa hivyo.
Ama kuna mtu anayefahamu juu ya haya atueleze.