Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Yuko wapi huyu jamaa. Mwanasiasa mwenye msimamo mkali katika kudai uwepo wa nchi ya Tanganganyika. Kiongozi wa kanisa aliyepindukia mipaka katika kudai haki za wanyonge. Mwanasiasa wa mahakamani na mwenyeji wa mahabusu. Mchunga kondoo wa bwana mwenye ujasiri wa kusimama hadharani na kupaza sauti yake akidai uwepo wa Tanganyika ya ukweli....yuko wapi huyu bingwa?