Yuko wapi Idris Sultan

Yuko wapi Idris Sultan

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,301
Reaction score
47,309
Mzuka wanaJF!

Dogo kawa kimya sana tangu alipokamatwa na kuswekwa ndani kwa kumdhihaki picha aliyeenda zake.

Sijui walimfanyia nini kituoni Oysterbay?

Yani hadi kasusa mitandao ya kijamii. Asiogope ajitokeze tu sasa hivi tumeona watu wanaujasiri kama CAG, Ndugai na Assad.

Pia Mo na Roma wajitokeze waseme yote waliofanyiwa kuna utawala mpya sasa hivi.
 
Yupo kama kawaida na kila siku anapost Instagram na Twitter.
 
Unaongelea mitandao ipi ya kijamii.. mboa Idriss kila siku yupo Twitter anatweet kama kawa..
 
Nimebadilisha jina tu. Mods walinipiga life ban nikashtukizia wamenirudishia ikabidi niibadilishe jina kutoka Copenhagen dn to Maghayo 'the notorious @$$ kicker' mtaalam mwenyewe wa kufundisha samaki kuogelea.
Haha ni kosa gani hilo kubwa ulifanya hadi ukapewa life ban?
 
Mzuka wanaJF!

Dogo kawa kimya sana tangu alipokamatwa na kuswekwa ndani kwa kumdhihaki picha aliyeenda zake.

Sijui walimfanyia nini kituoni Oysterbay?

Yani hadi kasusa mitandao ya kijamii. Asiogope ajitokeze tu sasa hivi tumeona watu wanaujasiri kama CAG, Ndugai na Assad.

Pia Mo na Roma wajitokeze waseme yote waliofanyiwa kuna utawala mpya sasa hivi.

Mkuu, umekuja na ID nyingine tena! Aise zimefika ngapi kwa sasa
 
Niambie mtu wangu Dalmine. Nakutakia mfungo mwema wiki hii. Waislamu wa skendinevia wanashukuru at least imeangukia April. Ingeangukiwa june july kufuturu ni saa sita za usiku jua linapozama.

Yesu akubariki mkuu

Duh, lakini tunapoelekea itafika tu june, july to December..ndivyo ilivyo mkuu Copenhagen.

Nashukuru sana kuniwish, tuko pamoja mkuu ❤
 
Mzuka wanaJF!

Dogo kawa kimya sana tangu alipokamatwa na kuswekwa ndani kwa kumdhihaki picha aliyeenda zake.

Sijui walimfanyia nini kituoni Oysterbay?

Yani hadi kasusa mitandao ya kijamii. Asiogope ajitokeze tu sasa hivi tumeona watu wanaujasiri kama CAG, Ndugai na Assad.

Pia Mo na Roma wajitokeze waseme yote waliofanyiwa kuna utawala mpya sasa hivi.
Yupo kwenye mitandao ya kijamii
 
Mzuka wanaJF!

Dogo kawa kimya sana tangu alipokamatwa na kuswekwa ndani kwa kumdhihaki picha aliyeenda zake.

Sijui walimfanyia nini kituoni Oysterbay?

Yani hadi kasusa mitandao ya kijamii. Asiogope ajitokeze tu sasa hivi tumeona watu wanaujasiri kama CAG, Ndugai na Assad.

Pia Mo na Roma wajitokeze waseme yote waliofanyiwa kuna utawala mpya sasa hivi.

Tatizo siyo Wao kusema ila ni zile Video walizorekodiwa wakifanyiwa ' naniliu ' na Watekaji Wao ambao huwafanyia hivyo Makusudi na Kuwaambia wakizungumza waliyotendewa huko na Wao wanayaanika kwa Umma. Je, ungekuwa ni Wewe ungependa nasi tuone ' ulivyonaniliwa ' Ndugu?
 
Yupo Twitter anachekesha ujinga..komedi..kesha acha ukiherehere.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mzuka wanaJF!

Dogo kawa kimya sana tangu alipokamatwa na kuswekwa ndani kwa kumdhihaki picha aliyeenda zake.

Sijui walimfanyia nini kituoni Oysterbay?

Yani hadi kasusa mitandao ya kijamii. Asiogope ajitokeze tu sasa hivi tumeona watu wanaujasiri kama CAG, Ndugai na Assad.

Pia Mo na Roma wajitokeze waseme yote waliofanyiwa kuna utawala mpya sasa hivi.
...Idris yupo kimya? Tafuta filamu aliyocheza huko Netflix.
Nadhani sasa anakwenda Kimataifa zaidi..
 
Back
Top Bottom