Yuko wapi FreeMan Mbowe kamanda wa anga?

Yuko wapi FreeMan Mbowe kamanda wa anga?

baz kaiza

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2015
Posts
11,495
Reaction score
12,107
Mbowe alizoea kuishi kwa siasa za kilaghai siasa kupitia damu za watu na kutengeneza wealth. Alivyokuja mwamba Magufuli akaona kumbe upinzani wanapiga kelele then unawaita Ikulu unawapa bahasha zenye minofu then wanatulia baadae njaa ikiuma wanawasha tena moto then unawaita tena mzee akaona hamna upinzani. Bora pesa hizo zipelekwe kwenye miradi ya Maendeleo ndo maana Magufuli pesa ya kufanyia maendeleo aliipata pamoja na kwamba alikua anakopa na kazi ilikua inafanyika tuliona.

Magufuli akaondoka mzee Mbowe akarudi kuendeleza siasa za nusu mkate hapa ndo akakutana na Jabali jingine linaitwa Antiphas Lissu Mgwahi huyu ndo kamtupa nje kabisa kwenye siasa za tanzania. Mbowe alishindwa kusoma majira na nyakati. Mbowe ameshindwa kufika hata Mahakamani kumuona mwenyeki wake? Chadema kwa nini mpaka mda huu hamjamfukuza uanachama Mbowe au mnamuogopa?
1759039800954.png
 
Kwamba sasa hivi adui ashakua Mbowe ?; Muendelezo wa Divide and Rule..., Mpaka siku tutakapojikita kwenye maadui wa Kweli Ujinga, Umasikini na Maradhi tutaendelea na Same Script different Cast... At the same time Status quo wanaendelea na burudani zao...
 
Huyo kuku Lissu alisha mnyonyoa manyoa akamtupia kikaangoni ccm wakaja kumuokoa sasahivi ametulia tu anasubili manyoya yake yaote kwanza.
 
Sasa mtu unaemwita ana siasa za ulaghai unataka aende mahakamani kwa Lissu kufanya nini ? Unamtaka mlaghai wa nini?
 
Mpuuzi yule.katuchelewesha sana ana roho mbaya sana
Kama kawachelewesha sahivi mko wapi? Kuna improvement gani tangu aondoke hadi tuseme kweli aliwachelewesha? Zaidi ya wanachama wa chadema kuzidi kuwa nyumbu kwa uoga mwenyekiti anateseka mahabusu hata kuandamana mnaogopa?

Na unafiki hamjauanza leo ni toka zamani Mbowe aliitisha maandamano lakini matokeo yake akaenda barabarani yeye na binti yake tu nyie mashujaa nyuma ya keyboard mlikuwa mmejificha uvunguni majumbani kwenu
 
Kwamba sasa hivi adui ashakua Mbowe ?; Muendelezo wa Divide and Rule..., Mpaka siku tutakapojikita kwenye maadui wa Kweli Ujinga, Umasikini na Maradhi tutaendelea na Same Script different Cast... At the same time Status quo wanaendelea na burudani zao...
Chadema waliita wanachama wajitokeze waende kuskiliza kesi ya Lissu mahakamani jamaa mmoja wa Kimara King'ong'o kaenda kawahi kuingia ndani baadae anatolewa na watu wa chadema mahakamani anaitwa eti ni polisi kavaa kiraia watu kama hao ndo wanavunjwa moyo hata kujitokeza kwasababu hizohizo akijitokeza mtu mmoja mwenye mihemko akazusha neno la kufikirika wanachama wote wanaripuka nalo bila hata kuhoji na kuanza kujidhuru wao kwa wao ndo maana wanaitwa nyumbu
 
Chadema waliita wanachama wajitokeze waende kuskiliza kesi ya Lissu mahakamani jamaa mmoja wa Kimara King'ong'o kaenda kawahi kuingia ndani baadae anatolewa na watu wa chadema mahakamani anaitwa eti ni polisi kavaa kiraia watu kama hao ndo wanavunjwa moyo hata kujitokeza kwasababu hizohizo akijitokeza mtu mmoja mwenye mihemko akazusha neno la kufikirika wanachama wote wanaripuka nalo bila hata kuhoji na kuanza kujidhuru wao kwa wao.
Son of a bitch
 
Back
Top Bottom