Roga Roga
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 655
- 507
Wadau hebu naomba kujulishwa wapi alipo Fred Mpendazoe je bado ni mwanachama wa Chadema?
ukipata jibu na mimi nauliza wako wapi wakina Juliana Shonza, Mtela Mwampamba, Dkt. Walid Kabour, Tambwe Hiza, Habib Mchange, Thomas Ngawaiya n.k