Idimi Platinum Member Joined Mar 18, 2007 Posts 15,506 Reaction score 11,439 Jul 29, 2016 #81 kinguo said: Nadhani kuna watu hawajui maana ya unafiki. Unafiki ni mtu kufanya vitu kwa siri. Lakini Nchimbi hakuwa mnafiki alisimamia anachokiamini. Click to expand... Kabisa. Nchimbi, Simba na Kimbisa walisema waziwazi kilicho mioyoni mwao, kwa nini waitwe wanafiki? Wao walikua kambi ya Lowassa waziwazi. Mbona waliokuwa kambi ya Membe hawasemwi? Au kwa kuwa Membe hakuwa na nguvu?
kinguo said: Nadhani kuna watu hawajui maana ya unafiki. Unafiki ni mtu kufanya vitu kwa siri. Lakini Nchimbi hakuwa mnafiki alisimamia anachokiamini. Click to expand... Kabisa. Nchimbi, Simba na Kimbisa walisema waziwazi kilicho mioyoni mwao, kwa nini waitwe wanafiki? Wao walikua kambi ya Lowassa waziwazi. Mbona waliokuwa kambi ya Membe hawasemwi? Au kwa kuwa Membe hakuwa na nguvu?