Yuko wapi Dr. Ndodi

Yuko wapi Dr. Ndodi

Kikuyumbo

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2014
Posts
391
Reaction score
94
WanaJf naomba kujua alipo huyu jamaa mtanzania mwenzetu, dr Ndodi, mtaalamu wa dawa za asili maana alifanya sana kazi ya kusaidia baadhi ya watanzania.
 
Kasanya vya kutosha asa hivi amewaachia co wake
 
Tusimbeze Dr.Ndodi amesaidia sana,ametupa elimu ya afya bure kupitia Luninga ya Star TV na EATV.
 
WanaJf naomba kujua alipo huyu jamaa mtanzania mwenzetu, dr Ndodi, mtaalamu wa dawa za asili maana alifanya sana kazi ya kusaidia baadhi ya watanzania.

ametapeli watu vya kutosha- may he rest in pieces
 
Kwa mwny mawacliano naye ajarb kumcall ndpo 2tajua alpo bt katb wtz pamoja nakufundsh afya kiufasaha
 
mwaka huu unaanza alishatimiza movie 70 sasa cjui this time atakuwa na ngapi maana bongo movie : 1 week = 3 movie
 
Kwa mwny mawacliano naye ajarb kumcall ndpo 2tajua alpo bt katb wtz pamoja nakufundsh afya kiufasaha

Mkuu huu uandishi wako sio mzuri kwa matumizi ya mtandaoni, kumbuka kila unachoandika unaandika kwa ajili ya wengine, ukitegemea kusomwa, sasa unapoandika bila kufuata taratibu za lugha ya kiswahili na masharti ya jf unataka nani asome na kuheshimu ulichoandika? umetoa wazo zuri tatizo ni lugha uliyotumia.
Badilika kwa manufaa ya wengine.
 
WanaJf naomba kujua alipo huyu jamaa mtanzania mwenzetu, dr Ndodi, mtaalamu wa dawa za asili maana alifanya sana kazi ya kusaidia baadhi ya watanzania.

Mkuu huyo dr. ndodi kwa sasa sina hakika kama yupo nchini, ila kuna mdau mmoja aliwahi kusema hapa jukwaani kuwa yupo na ana ofisi yake magomeni.
 
Back
Top Bottom