nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,802
- 4,450
Tangu alipokula rushwa na kuhamia ccm, kaka yangu mwanasheria, mwanajeshi Shitambala sijamsikia kabisa. Nipeni taarifa wanajamvi.Hivi ni kweli kuwa ukihama CDM unapoteza umaarufu kiasi hicho? Na je vile vyeo wanvyopean au kugawana kama wanvyopewa hata vilaza kama manyanya hawezi kupata? Nipeni jibu.